Hatari za kuchelewa kuoa

Hatari za kuchelewa kuoa

Waheshimiwa msioe kwa mapenzi bali oeni kimkakati kama wanawake wanavyoolewa kimkakati. Most of the times wanawake wanaolewa sio kwa sababu ya mapenzi ila kile ambacho mwamba unaweza provide for her and future kids.

Hapo zamani mwanaume aliyekua anaweza kuoa ilikua lazima awe mwindaji kwa Jamii za wafugaji au mkulima mahiri kwa Jamii za wakulima. Uwindaji na ukulima wa sasa ni hela,the one with the most money gets the bride.

Sasa kwanini were mwanaume mahiri uoe tako ,sura au rangi tu. Pia kama wao wanaolewa kwa sababu ya future provision basis hata sisi tufanye hivyo. Mkeo mtarajiwa awe na zaidi ya muonekano,sio pesa au ajira.

Ukioa kwa mapenzi utateseka sana (from personal experience). Mwanamke akipata anachokitaka kisha akaamua kukukatilia mbali wala hatasumbuka kwa sababu haupo moyoni mwake.

Be warned ndugu zangu.
 
Kabisa Baby yaani hiki kijamaa naonaga km hakina akili nzuri vile vi theory vya kuokoteza chocho/bin ukilaza mtupu!! ndo analeta humu!! Wajanja wanasema ''wise Man marry late!! yeye analeta eary marriage?? kweli?

hata demu mnae lingana umri anaweza kukupelekesha mpaka ukayamba kifukuto!! hata kifo kwani tumeona wangapi bana?? kuna kina dada waliochelewa kuolewa wengi tu kwa sababu mbali mbali!!

mtu unaruhusiwa kuoa pia!!...hata km utaoa mapema kuchapiwa kuko palepale utatunza watoto wa wenzio nusu kwa nusu!!... Dunia leo imevaa Bukta ukiendekeza ya huyu mwenda wazimu utaondoka na ukimwi!

Kaa na mke au mme mwenye kujua thamani ya maisha yenu ajue kuna magonjwa, sasa km ke/me hajali afya yako na yake!! sasa kwa nini uvumilie ukicheche wkt unajua anachezea na afya maisha yako???

tena basi Baba/wazazi kiujumla yako ametumia gharama kubwa sana kukupeleka shule ili uwasaidie wao na familia yako!! wanajali na kupenda uwepo wako....lkn eti uoe kicheche mapema ili ufe mapema ..

tena na ukimwi juu. kabla ya wazazi wako kufariki wazazi wanazika litoto lisomi limapepe!...kisa eti nilee mitoto ya kubambikwa tena basi mivuta bangi tupu!

sikieni waungwana humu ndani usikimbilie kuoa mapema kwa sababu za ukilaza km hizi!!....Oa/olewa pale unapo thaminika na kujaliwa kwa heshima ni raha sana!! ajue thamani ya maisha yenu!! akutunze umtunze baaasi!

Maisha ni wewe binafsi wala si kipepe yeyote msijidanganye kufakamia maku/lombo!...kichwa kichwa pima upepo!! wasomi wanathamini maisha yao sana ndg zangu! na usomi wao siyo kwao tu ni kwa watu wa Dunia nzima!

Jua kabisa waweza oa Mapema kwa kulazimisha na ukauawa Mapema na huyo huyo ke/me ajili ya mali zako ulizo tafuta kwa jasho la damu na wazazi wako wasifaidi!!

hata km usipo kufa kwa ukimwi mke/me, Mapepe anaweza kukuua kwa pressure tu! tulia hao watoto ukizaa umezeeka utawaandalia BIma ya shule zipo mara kibao! hela yako tu!! atakulia shuleni!

huyu mleta mada ana theory za vijijini mwaka 1912 hukooooooo! walioa wakiwa na miaka 12!
😆😆😆Tatizo wabongo wanakimbilia kuzaa ili watoto waje wawatunze 🤣

Yaani mtoto anapewa mzigo wa kuja kulea mzazi ambae hakujipanga,hakua na plan.
Ndio maana Afrika umasikini hautaisha

Watu weupe huu ujinga hawana
 
Sio issue kwanza siku izi wenye ndoa wengi wanapagawa na maisha ya ma single man...yaan wake za watu wana tembea nje ya ndoa kama njuguuu sasa kwann na mie niwahk ..yaan hapo ni sawa unaniamnia na mm niwahi kuoa alafu mke agongwe na wengi e ...ebooo kheri ni chelewe chelewe
 
Sijui elimu yako lakini kama ungekuwa umesoma ungeelewa suala la Ndoa sio ishu personal, ni ishu Socially, economically na political.

Kesho kutwa kwenye Sensa utaona kipengele cha Ndoa,
Ukiomba kazi lazima kwenye CV uweke Hali yako ya ndoa.

Ndoa ndio inaleta Family sijui Kama unajua hilo labda kama mwenzetu wewe ni Mnyama.

Unasema ndoa ni ishu ya Personal wakati serikali ndio inatoa vyeti vya ndoa😀😀

Faizafoxy anakuambia, huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
Mwanamke akizingua fukuza,oa mwingine..wapo wengi Sana barabarani wanaota kuwa wake
 
Tofauti miaka 4, Ukifika miaka 45 yeye ataonekana ni Mama mtu mzima kwako!!..kiuanaume/binadamu lazima utamchoka ki hisia wadada hatukawii kuchakaa!!....

akilijua hili linaanza mtokea hakuna rangi utaacha kuiona! ndo utajua hujui!! make kwa sheria za Bongo/Dunia ni mke halali wa ndoa ati!! hata pasu kwa pasu hataki tena!

Ni either yeye mwenyewe ke afanye la kufanya km wafanyavyo weengi!! hasa ukiona umependwa sana kuzidi mwanzo richa ya uma pepe wako, jua zako zinahesabika km huamini Nenda Machame Ukae tu utaliona ri picha!

au yeye huyo mkeo ang'atwe sikio na wajanja! hasa mashoga/ndg zake! kuhusu hizo mali zenu hilo laaazima likutokee tu! hasa pale mwanao mkubwa akifika chuo jipimie mwenyewe hapo Baba!

amini nakwambia hapo ndo hatari hutokea hasa hasa mkiwa na mafanikio ya maisha ama zako ama zake! hapo ni either uhame mji weye au ufe kabisa uzikwe abaki na mali..

.chunguza uone weeengi walio oa mapema wake wa umri wao walipoteaje?? hapa napoongea kuna jamaa ka-paralyse Mwili mwaka wa nne huu anauguzwa na ndg zake!

na Mke wa ujana yuko kwenye Jumba la ghorofa safiii na wanae sasa kwanini asiugulie kwake??!

Matajiri weeeengi siwataji humu mnawajua kabisaaa!! walikimbia nyumba zao nzuri kwa hiari yao wenyewe na waka fia huko mbali pasi kuuguzwa na hao wake zao wa ujana!!

Matajiri wako tayari waachie Mali zoote wakimbilie mbali au wakomae wafe vizuri na kimya kimya unadhani nani atamuuliza??! .. Matajiri wengi mjini hapo japo wanaishi nyumba moja na wake wa ujana lkn hawaongei!!

Labda itokee mshikirie Mungu sana!! tena yuleee wa Sabato mkeshe na kuomba/na kuombeana sana mtafika lkn kiulimwengu tu!! ...Ohooo!! yajayo yanafurahisha!! me wengi waliofanikiwa wanakoswa koswa kuuawa!

tena bila wao kujua sababu ni nini?? sasa weye dogo subiri uone unta-ntafuta!! usinione!

Shida itakuja palee Mapesa yatakapo anza ku flow! halafu ke akipiga mahesabu hayaoni wala hajui yanapo kwenda!! sometimes unachelewa kuja nyumbani mara huli home!!...mapenzi yanaenda chini... weee!!

Miaka 29-4=25(-2)=23 (-5)=18(-7)=... yaani Hapo mzazi anajiweza sana tu na weye uwe vizuri up stairs!! hapo hakuna supp! umenyooka mpaka kazini faster ... weee!

na kazi za ivo hizo ni enzi za Mchonga/Mwinyi kidogo!! wakti vyuo ni vichache na mnalipwa kichere huko vyuoni acha utani bana. kazi za siku hizi mpaka usote kwanza..hata kudanganya hujui!!

Lbda kama una miaka km Themanini hivi!! hapo ntakukubalia! lkn siyo enzi za Nkapa kuja huku tuliko!! Mawee upate kazi faster ivo?? uoe?
Theory tu.....na kukariri kwng....Acha visingizio ndugu.
 
Mkuu ni kweli umri umekwenda na sina hata mwana wa maji ya moto.....je? Nioe hata mwanamke yeyote (mataputapu) eti kisa nimemtafuta mwenye sifa nizipendazo nimemkosa.....
Mwiiiiiiiiiiiizukuru mgikuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee huna watoto? Ajabu hii
 
Wewe ndio mjinga kabisa. Serikali inatambua ndo lakini haikulazimishi kuoa. Ni societal pressure. Ni mkumbo. Ni trend. Binadamu mwenye akili sawasawa na thabit huwa hafati social norms, wala trends. Sawa? Na kwa taarifa yako nimesoma kukuzidi wewe bogus unayekaa na kuandika uharo. Dunia haipo hivo, watu hawaoi na maisha yanaenda vizuri kuliko wewe hapo na dhiki zako. Ova
Ficha mbali huu upumbavu wako, huenda utakunufaisha baadae…. hata biashara sio ya serikali na haikulazimishi kuanzisha ila ukianza tu serikali hii hapa ulipe kodi.

Unasema huwezi kuishi kwa kufuata social norms wakati huo unakula kwa mpangilio wa jamii yako, asubuhi mchana na usiku.
 
Ficha mbali huu upumbavu wako, huenda utakunufaisha baadae…. hata biashara sio ya serikali na haikulazimishi kuanzisha ila ukianza tu serikali hii hapa ulipe kodi.

Unasema huwezi kuishi kwa kufuata social norms wakati huo unakula kwa mpangilio wa jamii yako, asubuhi mchana na usiku.

Unabishana na kichaa.

Sasa Kama hawezi kuishi Kwa kufuata norms atuambie ni Jambo gani linamzuia yeye kulala na Mama yake mzazi au Dada yake wa kuzaliwa,
Au ni Jambo gani linamzuia yeye Kama Mwanaume kulala na Mwanaume mwenzake,

Ogopa kitu inaitwa upumbavu, yaani anashindwa hata na mnyama kufikiri
 
Tofauti miaka 4, Ukifika miaka 45 yeye ataonekana ni Mama mtu mzima kwako!!..kiuanaume/binadamu lazima utamchoka ki hisia wadada hatukawii kuchakaa!!....

akilijua hili linaanza mtokea hakuna rangi utaacha kuiona! ndo utajua hujui!! make kwa sheria za Bongo/Dunia ni mke halali wa ndoa ati!! hata pasu kwa pasu hataki tena!

Ni either yeye mwenyewe ke afanye la kufanya km wafanyavyo weengi!! hasa ukiona umependwa sana kuzidi mwanzo richa ya uma pepe wako, jua zako zinahesabika km huamini Nenda Machame Ukae tu utaliona ri picha!

au yeye huyo mkeo ang'atwe sikio na wajanja! hasa mashoga/ndg zake! kuhusu hizo mali zenu hilo laaazima likutokee tu! hasa pale mwanao mkubwa akifika chuo jipimie mwenyewe hapo Baba!

amini nakwambia hapo ndo hatari hutokea hasa hasa mkiwa na mafanikio ya maisha ama zako ama zake! hapo ni either uhame mji weye au ufe kabisa uzikwe abaki na mali..

.chunguza uone weeengi walio oa mapema wake wa umri wao walipoteaje?? hapa napoongea kuna jamaa ka-paralyse Mwili mwaka wa nne huu anauguzwa na ndg zake!

na Mke wa ujana yuko kwenye Jumba la ghorofa safiii na wanae sasa kwanini asiugulie kwake??!

Matajiri weeeengi siwataji humu mnawajua kabisaaa!! walikimbia nyumba zao nzuri kwa hiari yao wenyewe na waka fia huko mbali pasi kuuguzwa na hao wake zao wa ujana!!

Matajiri wako tayari waachie Mali zoote wakimbilie mbali au wakomae wafe vizuri na kimya kimya unadhani nani atamuuliza??! .. Matajiri wengi mjini hapo japo wanaishi nyumba moja na wake wa ujana lkn hawaongei!!

Labda itokee mshikirie Mungu sana!! tena yuleee wa Sabato mkeshe na kuomba/na kuombeana sana mtafika lkn kiulimwengu tu!! ...Ohooo!! yajayo yanafurahisha!! me wengi waliofanikiwa wanakoswa koswa kuuawa!

tena bila wao kujua sababu ni nini?? sasa weye dogo subiri uone unta-ntafuta!! usinione!

Shida itakuja palee Mapesa yatakapo anza ku flow! halafu ke akipiga mahesabu hayaoni wala hajui yanapo kwenda!! sometimes unachelewa kuja nyumbani mara huli home!!...mapenzi yanaenda chini... weee!!

Miaka 29-4=25(-2)=23 (-5)=18(-7)=... yaani Hapo mzazi anajiweza sana tu na weye uwe vizuri up stairs!! hapo hakuna supp! umenyooka mpaka kazini faster ... weee!

na kazi za ivo hizo ni enzi za Mchonga/Mwinyi kidogo!! wakti vyuo ni vichache na mnalipwa kichere huko vyuoni acha utani bana. kazi za siku hizi mpaka usote kwanza..hata kudanganya hujui!!

Lbda kama una miaka km Themanini hivi!! hapo ntakukubalia! lkn siyo enzi za Nkapa kuja huku tuliko!! Mawee upate kazi faster ivo?? uoe?
Mtoa post kazngua sana asee
 
No strings attached, living together apart, unconditional relationship ndio best ndoa, nyengine first class ticket to miserable life.
He who desires a lifetime of happiness with a beautiful woman desires to enjoy the taste of wine by keeping his mouth always full of it. George Bernard Shaw
 
.yaan hapo ni sawa unaniamnia na mm niwahi kuoa alafu mke agongwe na wengi e ...ebooo kheri ni chelewe chelewe
Halafu ke akigongwa huko nje anakuja zalia kwako idadi ya kutosha tu!unajichekesha km zuzu! matunzo yote ya ulezi unatoa wewe!! hayo hayo!! Matoto kumbuka si yako, pale yakikua sasa ...

ikitokea siku unamkoromea Mama yao ki vyoyvyote vile hakuna rangi utaacha kuiona yatakutia vitasa barabara si vya Dunia hii!! na laana hawapati!!...hapo sasa

.utageuka kuwa mwalimu mzuri wa somo la kuto oa mapema!! ...ajili ya kupigiwa Nyapu hadharani!....na ukizidisha gubu la kumsema sana siku ukilewa ana kuua faster!...tena kwa sumu ya panya tu si anakupikia yeye???

Km mtoto si damu yako anakupiga tu bila mshtuko! kwa sababu ulishindwa kuishi na Mama yake kwa akili!! wkt mlishaambiwa mapema mfanye ivo!

Labda mleta mada angesema hivi Omba Mungu akupe mke mwema!!
 
Back
Top Bottom