Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

Jamhuri ya Zanzibar

Senior Member
Joined
Jul 17, 2012
Posts
126
Reaction score
195
* Nakala halisi ya Mapatano ya Muungano hii hapa.

* Ni ya size ya A4, tofauti na ile ya ikulu ya Magogoni.

* Ina muhuri wa SIRI, kama inavyotakiwa mikataba ya kinchi ya kimataifa inayosainiwa na wakuu wa nchi husika, tofauti na ile ya ikulu ya Magogoni.

* Ni kongwe zaidi inayoakisi umri wa miaka 50, tofauti na ile inayong'ara ya ikulu ya Magogoni.

* Haina saini ya Mzee Karume bali ya Nyerere peke yake, inathibitisha sahihi ya kughushi ya Mzee Karume katika nakala ya ikulu ya Magogoni.

* Mzee Karume alikataa kuharakia kusaini na kumtaka Nyerere avute subira mpaka Baraza la Mapinduzi liukubali Muungano. Baraza la Mapinduzi halikuridhia kisiasa wala kisheria suala la Muungano.

* Mzee Karume alifariki akiwa hakusaini hati za Mapatano ya Muungano.
attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • muungano 3.jpg
    muungano 3.jpg
    34.4 KB · Views: 251
  • muungano 2.jpg
    muungano 2.jpg
    45 KB · Views: 252
  • muungano 1.jpg
    muungano 1.jpg
    27.8 KB · Views: 258
Iwe fake au original huo muungano batili wa CCM bado tutavunja tu. It is a matter of time.
 
Haha you are very funny, itakua umelewa urojo nadhani,
 
Unataka ufufue mambo yaliopita haya.......
 
Mnamchokoza Mzee wa Ismani maana hajaongea siku nyingi,alikwisha sema yeye ni bingwa wa kuzomewa!
 
Hati ya muungano iliyotolewa magogoni ni fake,original ni hii hapa yenye saini moja tu ya nyerere.
Si ya A4,ni karatasi maalum
Karume hakuweka saini akisubiri BLM liridhie
Ina muhuri mwekundu kuufanya kuwa ni siri.

Huyu atakuwa ni Lissu amechokonoa tena.
My take: Lissu utauwa watu kwa presha
 
Hii yote inatokana na utamaduni usiofaa wa CCM wa kuficha vitu hata vinavyotakiwa kuwekwa wazi na kutundikwa ofisini kama zilivyo picha za viongozi . Kufichaficha huku kunatia shaka na kunaleta Uchokonozi, tunaomba viongozi wetu ili liwe fundisho kwao.
 
Wapelekee UKAWA!
Mbona umeficha mwisho wa karatasi kwa upande wa kulia?? Kuna nini???
 
Buk 7 fc project mko wapi njooni mmeshavamiwa khaaaaa

Huu muungano ni wa froshiraz na TANU wakatengeneza hawa vibaka wa rasilimali za watz CCM ,tutavunja muungano ili kuiua CCM wezi wakubwa hawa tumewachoka,na tukivunja huu muungano CCM pia inavunjika inarudi TANU yetu

CCM ishakuwa dampo la wauaji, wala rushwa, wabakaji, mateja wa sembe na wanyang'anyi .TO HELL PTUUUUUUU
 
Buk 7 fc project mko wapi njooni mmeshavamiwa khaaaaa

Huu muungano ni wa froshiraz na TANU wakatengeneza hawa vibaka wa rasilimali za watz CCM ,tutavunja muungano ili kuiua CCM wezi wakubwa hawa tumewachoka,na tukivunja huu muungano CCM pia inavunjika inarudi TANU yetu

CCM ishakuwa dampo la wauaji, wala rushwa, wabakaji, mateja wa sembe na wanyang'anyi .TO HELL PTUUUUUUU

kwani wewe wazazi wako mbona walikutana kichakani ndo ukapatikana wewe? Ina maana wewe tukuue ili apatikane mwingine wa halali?
 
Hiyo original yake katumieni ukawa na mabwana zenu wanaowapa pesa za kuvuruga nchi.

hahahahahaaa! Ukawa wamefurukuta mpaka wamechemsha. Sasa wanakuja na sanruri iliyomshinda Lissu bungeni
 
kwani wewe wazazi wako mbona walikutana kichakani ndo ukapatikana wewe? Ina maana wewe tukuue ili apatikane mwingine wa halali?

Cheki akili zenu zilivyo ,unawaza uzinzi muda wote, huo ni upuuzi mnabaka mpk wanafunzi, hakuna mwenye maono hata mmoja, afu nitegemee nini kipya kutoka kwa mtu km wewe?? Unatumika vbaya wake up.

poor!
 
Cheki akili zenu zilivyo ,unawaza uzinzi muda wote, huo ni upuuzi mnabaka mpk wanafunzi, hakuna mwenye maono hata mmoja, afu nitegemee nini kipya kutoka kwa mtu km wewe?? Unatumika vbaya wake up.

poor!

naona imekuuma sana kuambiwa ukweli! Kama umeumia saaaaana nakushauri ukojoe ulale
 
Back
Top Bottom