Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

Sawa sawa kabisa, huu umechapwa kwa mashine ya typewriter huu wa ccm umechapwa kwenye computer ya DELL wakatumia font ya Times New Roman size 12.
 
Na picha inayoonyesha Nyerere na Karume wakiwa kwenye meza moja wakiandika vitu huku wakishuhudiwa na kina Kambona ilikuwa ya tukio lipi?
 
Unasemaje wewe kuhusu tofauti iliyopo kati ya hizi na zile zilizopelekwa dodoma? Ukisema tu uwongo bila justification, huwezi kuelewaka kwa sababu hata mwizi japo kakamatwa siku zote hukataa.

Kuudhihirisha uwongo wa huyu, wewe elezea hiki ni nini na kilichopelekwa dodoma ni nini na kama ni kitu kimoja justify. Habari za kubisha bila hoja, ni za watu kama weston songolo.

umepata faida gani kuueneza uongo
 
Unasemaje wewe kuhusu tofauti iliyopo kati ya hizi na zile zilizopelekwa dodoma? Ukisema tu uwongo bila justification, huwezi kuelewaka kwa sababu hata mwizi japo kakamatwa siku zote hukataa.

Kuudhihirisha uwongo wa huyu, wewe elezea hiki ni nini na kilichopelekwa dodoma ni nini na kama ni kitu kimoja justify. Habari za kubisha bila hoja, ni za watu kama weston songolo.


umenena!
 
Wenzako sakata la hati washalimaliza kwa gharama kubwa tu.......Na kama ilivyo ada kwa watanzania tushahau now tuna deal na ukawa tu,c mda mrefu utasikia tukio la kufa mtu ili kufunika issue ya ukawa
 
Wenzako sakata la hati washalimaliza kwa gharama kubwa tu.......Na kama ilivyo ada kwa watanzania tushahau now tuna deal na ukawa tu,c mda mrefu utasikia tukio la kufa mtu ili kufunika issue ya ukawa

umeonaeeee!
 
umepata faida gani kuueneza uongo

Acha ujinga,nani muongo?ccm au aliyeleta nakala halisi?kama unakumbukumbu nzuri,lisu alipoibua hoja ya kutokuwepo kwa hati muungano,ccm na serikali yake walichukuwa muda mrefu sana kutoa hiyo nakala feki,wasira kwa kujidai akasema hati ipo ikulu baada ya siku nyingi kupita,tutasemaje hiyo ilukuwa nakala halisi?mud a wote huo walikuwa wapi kuitoa kama kweli ilikuwepo,walikuwa wanaichakachua,kwahiyo ndugu waongo ni ccm
 
atakuwa ameiandaa Kinondoni

Tuwekee na ile aliyoitoa Balozi Sefue basi ili tuzipitie zote.

Nikiangalia ile hati ya Sefue na hii iliyobandikwa humu, naona afadhali ya hii. Hii inaweza kuwa kweli, lkn ile ya Sefue mmh!
 
km n hati ya kweli sawa, lkn kumbe Karume hakuisain, bas n batili, coz hakuna marizian, ni kulazmisha kwa Nyerere
 
na kama ipo kwa nini haiwekwi wanachi? kama nyerere na karume walimix udongo wa tanganyika na zanzibar kwa uwazi, kwa nini hati iwe siri?
 
Iyo Hati Haipo, Karume Aliisha Moto Baada Ya Kuona Muungano Ni Wa Magumashi.
 
Hiyo hati ipo na ndicho kilichowakimbiza Lissu na Ukawa bungeni baada ya kuwahakikishia watanzania kuwa haipo,lakini baada ya kupelelekwa kwenye bunge la katiba Ukawa wakazomewa sana wakaona hamna njia tumeumbuka,mnyamwezi akatumika kulikimbia bunge
 
na kama ipo kwa nini haiwekwi wanachi? kama nyerere na karume walimix udongo wa tanganyika na zanzibar kwa uwazi, kwa nini hati iwe siri?

Kama haipo ama ipo yan inahusu nini?, muungano waliungana na tunajua, kama mtu huutaki sema moja kwa moja kuliko hiii ya maswali maswali ambayo majibu yake unayo.
 
Back
Top Bottom