Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

Hati ya muungano iliyotolewa magogoni ni fake,original ni hii hapa yenye saini moja tu ya nyerere.
Si ya A4,ni karatasi maalum
Karume hakuweka saini akisubiri BLM liridhie
Ina muhuri mwekundu kuufanya kuwa ni siri.

Karatasi lake la mitiyani katowa huko alafu anatuwambiya hati ya muungano
Lisu anawachanganya ukawa kama viroba
 
Hiyo original yake katumieni ukawa na mabwana zenu wanaowapa pesa za kuvuruga nchi.

Hamjijui siri zinavuja kutoka huko huko nyumbani. Chezea makundi ndani ya CCM. Na bado.
 
hili nalo si la kupuuza, ngoma nzito huko tuendako, ccm wanajilisha upepo muda utasema tu
 
attachment.php
 

Attachments

  • hati.jpg
    hati.jpg
    15.4 KB · Views: 251
Mbona kila mtu anajua kwamba ile iliyoonyeshwa ni fake! Labda ni yale matumbiri ya Lumumba tu yaliyoamua kumkabidhi akili zao nape ndio yanayoishabikia.
 
Mpelekee Tundu lisu, unatuletea SISI itatusaidia nini?
 
Huwezi kupata umaarufu kwa kufukua makaburi ambayo ndani yake kuna masalia ya mifupa tu.
 
Nilijua hili mapema kuwa c.c.m lazima wachakachue hati ya muugano.
 
Tuwekee basi hiyo ya Ikulu ili tulinganishe na hii ya Kinondoni
 
Back
Top Bottom