Hatia 4 - Dizasta vina ni best story teller tangu hiphop ya bongo ianze mpaka sasa

Hatia 4 - Dizasta vina ni best story teller tangu hiphop ya bongo ianze mpaka sasa

Dizasta ni Mc wa kawaida sana ...Namfahamu vizuri sana tangu enzi anasoma IFM na kukaa kigamboni ... Kwenye story Dizasta hamfikii P the Mc wala stereo
 
Ww kukaa nae au kumjua physically haifanyi sisi kushindwa kuelewa anacho deliver kwa jamii

Tuanze na stereo

Hyu mojawapo wa watu wangu wa hip hop niliyemkubaligi sana since yuko lunduno na akina shashow, mbishi na bunny mc

Na anajua vizuri tu kwnye masuala ya huu utamaduni wa hip hop

Anajua story kuelezea sikatai ila uje compare na dizasta hapana nakataa

Kwnye album yke ya "The african son" stereo mule kajitahidi sifikiri kma kuna hta ngoma zaidi ya 8 unaweza compare na album ya "The verteller"


Kuanzia ushairi, content, aina za maneno, ubunifu wa story

Dizasta kaua sanaaaaaaa


Kwanza ile intro tu ya album ya The verteller ni sumu sana


Tuache masikhara dogo anajua kuchora mistari na kadri unavyozid kumsikiliza ndo unapata hamu ya kutaka kujua nini mbele anasema

Hyo p the mc anajua ila nae sio level ya dizasta.

Apewe tu heshima yake kwenye hicho kipengele aiseeeeeeeeeeeeeeeee.




Dizasta ni Mc wa kawaida sana ...Namfahamu vizuri sana tangu enzi anasoma IFM na kukaa kigamboni ... Kwenye story Dizasta hamfikii P the Mc wala stereo
 
Nobody is safe 2 & 3

Humo dizasta ameua sana, huyu jamaa sio mtu mzuri kabisa
 
Hzi zte ni punchlines hazina maana kivile ukilinganisha na consciousness za kwenye hatia 1-IV
Punchline ndio base line ya hiphop

Hizo hatia zote unawai kuzichoka, punchline zitakaa sana
 
Yaani niichoke hatia 3 over no body is safe 3


Sio kweli , hip hop ni kuimba maisha halisi yanayoreflect jamii nzima kwa ujumla

Punchlines ni kma sanaa za majigambo tu

Kutambiana mimi mkali huniwez sijui ni na nini

Kwangu hapana.
Punchline ndio base line ya hiphop

Hizo hatia zote unawai kuzichoka, punchline zitakaa sana
 
Ww kukaa nae au kumjua physically haifanyi sisi kushindwa kuelewa anacho deliver kwa jamii

Tuanze na stereo

Hyu mojawapo wa watu wangu wa hip hop niliyemkubaligi sana since yuko lunduno na akina shashow, mbishi na bunny mc

Na anajua vizuri tu kwnye masuala ya huu utamaduni wa hip hop

Anajua story kuelezea sikatai ila uje compare na dizasta hapana nakataa

Kwnye album yke ya "The african son" stereo mule kajitahidi sifikiri kma kuna hta ngoma zaidi ya 8 unaweza compare na album ya "The verteller"


Kuanzia ushairi, content, aina za maneno, ubunifu wa story

Dizasta kaua sanaaaaaaa


Kwanza ile intro tu ya album ya The verteller ni sumu sana


Tuache masikhara dogo anajua kuchora mistari na kadri unavyozid kumsikiliza ndo unapata hamu ya kutaka kujua nini mbele anasema

Hyo p the mc anajua ila nae sio level ya dizasta.

Apewe tu heshima yake kwenye hicho kipengele aiseeeeeeeeeeeeeeeee.
Rudi kwa p the Mc ,skilizia ngoma kama Huna jipya, .mama mjane,...P anauwezo wa kustick Kwenye mada husika mwanzo mwisho ....Ukija kwa stereo ngoma kafanya na grace matata jina nimesahau
 
Punchline ndio base line ya hiphop

Hizo hatia zote unawai kuzichoka, punchline zitakaa sana
Muelekeze huyo ... Kwanza anaonekana Hana sikio la Hip-hop huku anajilazimisha tuu ndo maana anaforce eti Dizasta ni mkali ...Dizasta Kwenye story telling hamfikii hata Ghetto ambassador
Yan pale Tamaduni kuanzia
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Nash Mc
Azma

Dizasta hamfikii hata mmoja hapo iwe kwa punchline ,Ku stick Kwenye mada husika , Story telling

Hana ujanja wowote kwa hao manguli. [emoji115]
 
Kabla sijakujibu hpa nikuulize umeshasikiliza album ya "The verteller"?


Halafu ndo tuendeleee sasa....
Rudi kwa p the Mc ,skilizia ngoma kama Huna jipya, .mama mjane,...P anauwezo wa kustick Kwenye mada husika mwanzo mwisho ....Ukija kwa stereo ngoma kafanya na grace matata jina nimesahau
 
Sawa kaka ww mwenye sikio la hip hop hongera

Ila mimi nimetoa na mifano kabisa iliyo hai
Muelekeze huyo ... Kwanza anaonekana Hana sikio la Hip-hop huku anajilazimisha tuu ndo maana anaforce eti Dizasta ni mkali ...Dizasta Kwenye story telling hamfikii hata Ghetto ambassador
Yan pale Tamaduni kuanzia
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Nash Mc
Azma

Dizasta hamfikii hata mmoja hapo iwe kwa punchline ,Ku stick Kwenye mada husika , Story telling

Hana ujanja wowote kwa hao manguli. [emoji115]
 
Rudi kwa p the Mc ,skilizia ngoma kama Huna jipya, .mama mjane,...P anauwezo wa kustick Kwenye mada husika mwanzo mwisho ....Ukija kwa stereo ngoma kafanya na grace matata jina nimesahau
Kwa upande wangu.story teller mc nchi hii ni p the mc na dizasta, hawa wakimbia kitu kina nyooka na ufundi mwingi unaokufanya usichoke kusikiliza.

Mc wapo wengi wazuri kwa story ila kwangu mimi hao ndo the best.

Nikianza na p the mc....ila hii hatia 4 na hatia 3 hizi kitu ni kali sana
 
Hyo hatia 3 kwangu ndo the best song ever made by him, jamaa kaspit vitu very consious
Kwa upande wangu.story teller mc nchi hii ni p the mc na dizasta, hawa wakimbia kitu kina nyooka na ufundi mwingi unaokufanya usichoke kusikiliza.

Mc wapo wengi wazuri kwa story ila kwangu mimi hao ndo the best.

Nikianza na p the mc....ila hii hatia 4 na hatia 3 hizi kitu ni kali sana
 
Muelekeze huyo ... Kwanza anaonekana Hana sikio la Hip-hop huku anajilazimisha tuu ndo maana anaforce eti Dizasta ni mkali ...Dizasta Kwenye story telling hamfikii hata Ghetto ambassador
Yan pale Tamaduni kuanzia
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Nash Mc
Azma

Dizasta hamfikii hata mmoja hapo iwe kwa punchline ,Ku stick Kwenye mada husika , Story telling

Hana ujanja wowote kwa hao manguli. [emoji115]
Kwakua ni mtazamo wako sawa,ila dizasta ni habari nyingine kwa storry teller
 
Kwakua ni mtazamo wako sawa,ila dizasta ni habari nyingine kwa storry teller
Ameshindwa tu kuelewa kuhusu hicho kipengele, nikki, one, p the mc, nash overall wanamzidi dizasta ila kwnye storry telling jamaa anawapiku vizur tu
 
Back
Top Bottom