rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Naielewa zaidi Hatia part 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku- SONGA1.siku mbaya
2.kijogoo
Hizi ngoma dizasta aliua sana. Ntajie story telling inayoifikia hizo? Nikupe laki
Mzee kwenye upande wa story telling ukiwapa idea moja na mbishi na dizasta, simply dizasta ana winMbishi sijui nini kimekuta sikuizi sio yule wakitambo kabisa..
Usiku ni bonge la story lile.Usiku- SONGA
Fallen Roses- SONGA
Picha- SONGA
Ni wimbo ambao ukisikiliza na dem wako unaweza ukaachwa 😂. Mi naielewa zaidi hatia 1.Naielewa zaidi Hatia part 2
Ukiamua kusikiliza hatia namba 2 mbele ya demu wako utakuwa na ujasiri wa kiroho mbaya sana😀😀😀Ni wimbo ambao ukisikiliza na dem wako unaweza ukaachwa 😂. Mi naielewa zaidi hatia 1.
Umesikiliza ngoma ngapi za Songa?Songa moja katika ya wasanii ambao nao wanauwezo mdogo, ila akapata jina ghafla na jina halijakua hadi leo
Shukrani kwa tamaduni muziki
😂😂 kweli kabisaUkiamua kusikiliza hatia namba 2 mbele ya demu wako utakuwa na ujasiri wa kiroho mbaya sana😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiamua kusikiliza hatia namba 2 mbele ya demu wako utakuwa na ujasiri wa kiroho mbaya sana[emoji3][emoji3][emoji3]
Sikupingi japo sikubaliani na wewe.Unamuacha wapi Chindo Man kwenye ngoma kama, Nyoka, Haikupangwa, Dog Danger.
Pia kuna Marehemu Father Nelly, msikie kwenye Ushanta. Dogo ni mkali ila siyo mkali kuliko wote kwenye Game
Songa ana usimuliaji wa kitoto sana. Wa kawaida, Hana maajabu.Usiku- SONGA
Fallen Roses- SONGA
Picha- SONGA
Nyingi sana mzee,Umesikiliza ngoma ngapi za Songa?
Nacha ni fundi mwingine asiyepewa attention.Msikilizeni na Nacha..Darasa Huru..
Kabisa mzee, ukitaka kupigwa chini wewe sikiliza ilo pini na manzi wakoNi wimbo ambao ukisikiliza na dem wako unaweza ukaachwa [emoji23]. Mi naielewa zaidi hatia 1.
King kola ni noma hiyo traki,,,,,sema labda una mapenzi na hiphop ya kwenu arusha,jamaa yuko vizuri sana huyu mwamba dizasta vina...nimemsikiliza baada kupata habari zake hapa huwezi mfananisha na hawa mbogamboga.Sijui kwanini nashindwa kumsikiliza...
Nimeutafuta wimbo nikaishia kuucheza hadi dakika 1 tu.
Nikaishia kuisikiliza King Kolla na Nyokaa. Nadhani Mbwa ndiye best storyteller kwangu.