Hatima Diamond Kathibitisha ndoa yake na Zari

Hatima Diamond Kathibitisha ndoa yake na Zari

Unafahamu "wealth maximization concept" mfano Tajiri Kama Bahkresa pamoja na mambo ya uzalishaji na kufanya biashara kubwakubwa lakini haachi kutengeneza Ice creams Za shs 50 na kuuzia watu unajua ni Kwa nini? Si angeachana na hizo biashara ndogondogo Za kuuza ice creams na chock sticks akabaki na biashara kubwa kubwa ? Kama anaweza kupambana akamwambia jamaa ajenge jumba Kwa kila mtoto mfano amekosa nini?! Ngoja nisieleze mengi! Wanasema alolala usimwamshe , ukimwamsha utalala Wewe ! Alamsiki!
Wealth maximization na gold digging ni vtu viwili tofauti... Know the difference
Zari yuko kwny maximization wkt wadada wengine walikua kwny gold digging
 
seduce me ilisindikiza party hiyo kwa habari za ndani nilizopenyeshewa
 
Wimbo unafanyiwa kampeni utafikiri kuna uchaguzi. Kizuri kinajiuza chenyewe siyo kwa kufosi kiasi icho ila thumb up mmefanikiwa congrats for that ila ukifika view flan ukaganda mtaonekana maboya sana. Kesheni ivo mpk mfikishe view 10 kama salome ndn ya mwez mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaingiza hela lakini. Hata Dai alivunja kwenye ile 'Marry you' ilikuwa fireeee
 
21149223_169404436955116_9187330238969806848_n.jpg
 
Na huku humo!!!

Hivi huyo anayedai kazaa naye, kwanini hakurusha picha alizopiga kwa kuibia wakiwa wote au hata walizopiga pamoja sehemu watu hawafik!? Yaani siamini mwizi na nguvu aliyokuja nayo akose picha na ampendaye za kivyao or alifungiwa simu?
Hahahahaha! Nipo mtani!
Binti mrembo anafanya mambo ya ajabu,sahihi kabisa diamond kumuita malaya mtafuta kiki.
Akalee sasa mwenyewe.Bahati mbaya kiki yote imezimwa,hatajwi tajwi sasa hivi.
 
Unaambiwa mange kule alipo anaazima simu,pc,na kila kifaa kinachowezesha internet kwa kila amuonae njian kuingia you tube kujaza views kwa ali kiba
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata kuna mtu Leo nilimsikia anasema kua anaangalia video na source tofauti kuongeza views
 
Yaani bado anataka kuanzisha kiki nyingine aongelewe yeye tu watu waache kufuatilia [HASHTAG]#seduceme[/HASHTAG] hahaaa aisee huyu jamaa atakufa kwa presha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani bado anataka kuanzisha kiki nyingine aongelewe yeye tu watu waache kufuatilia [HASHTAG]#seduceme[/HASHTAG] hahaaa aisee huyu jamaa atakufa kwa presha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mtu asifanye ratiba zake za kila siku Kisa kibakuli. Nyie hampo serious [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom