Uchaguzi 2020 Hatima ya CCM Babati Mjini

Uchaguzi 2020 Hatima ya CCM Babati Mjini

Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dkt. Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.
Naona mnavyoanza kuhofia CDM kabla hata hawajaanza siasa wakati mlikuwa kwenye kampeni kwa miaka yote mitano.
 
Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dkt. Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.
SIONI HOJA YAKO KAMA INA MAANA KWANI NCHI INAENDA KIDIKTETA KWA IYO ATA AKIWEKWA KICHWAPANZI ATAKUWA MBUNGE WENU TU,
MATOKEO ANATANGAZA MKURUNGENZI AMBAYE AMEONYWA KUWA KAMA ANALIPWA MSHAHARA NA KUPEWA GARI NA JIWE BASI HATAKWENDA KINYUME KATU NDUGU YANGU ATAWATANGAZIA KICHWAPANZI KUWA MBUNGE WENU MJIANDAE
 
Wananchi wanauwezo mkubwa kuliko unavyofikiria wa kuamua nani awe kiongozi wao. We subiri na usifikiri watanzania poa
 
Back
Top Bottom