Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Kuna watu humu wame kasirika, ila ndio mpira haijalishi mchezaji ana mkataba wa miaka mingapi, mkataba wake unaweza kuvunjwa cha msingi taratibu za usajili zifuatwe.

Makolo walilishupalia hili swala,mpaka msemaji wao akawa ripota wa kuitegemea wa habari za Fei,wakasahahu brother Kibu bado yupo yupo sana na yupo zake Dubai, huko wao wapo bongo wakimlaumu na wamesahau kwamba Chama kupitia Insta live alisema kabakisha miezi sita.
 
Ndo Feisal akatae kucheza?
 
Tanzania yangu daah kwani nani asiyejua Feisal ni mchezaji wa Yanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kikubwa tunataka maamuzi juu ya feisal kuvunja mkataba wake asepe

Ndo tunachohitaji kujua je anaruhusiwa kuvunja au laaah hayo maamuzi kamili ndo tunataka bhana
 
Nenda Milembe ukacheki afya yako ya akili, tatizo lako liko nje ya uwezo wangu.
 
C juzi semaji lilisema bado anamwaka na nusu kwenye mkataba imekuaje tena ikawa miezi sita mkuu?
 
Utopolo kweli hsmnazo, Kwani kuna aliyebisha fei sio mali ya utopolo? TFF walipaswa kutoa ufafanuzi kama mkataba unamruhusu fei kuvunja mkataba kwa 112ml au la, na hayo ndio malalamiko waliyopeleka yanga kwa tff kwamba fei hajafuata utaratibu na ndio mana wakarudisha ile pesa.

Au ndio hiyo jumatatu tutaambiwa kuhusu utaratibu?
 
Waliofanikiwa wanataka wao pekee wafanikiwe
 
Yanga mwenzangu una ubwege mkubwa sana. Yaani unafurahia hili? Yaani mke hakutaki anaondoka na anaenda kutiwa na mwanaume mwingine.

Mahakama inamrudisha kwako kuwa hakuondoka na talaka unafurahia? 🤣🤣🤣🤣🤣 WE SI BWEGE SANA? UTAKUWA NA AKILI KWELI? USITUAIBISHE SISI WENYE AKILI.
 
C juzi semaji lilisema bado anamwaka na nusu kwenye mkataba imekuaje tena ikawa miezi sita mkuu?
Chama aliongea juzi instalive kabakisha miezi sita na Simba. Kuna mtu anaitwa Yusuph Bakheresa anasajili mwenyewe hatumii dalali na ndiye aliye mzuzua Fei,makolo wasishangae Yusuph akahamia kwa Chama.
 
Mbumbumbu kwenye ubora wako
 
Afadhali msagiane kunguni wenyewe kwa wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…