Hatima ya Jengo la kiuchumi la kanisa la Anglican(SAFINA HOUSE) mjini Dodoma, inaweza kuwa kama ya Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam

Hatima ya Jengo la kiuchumi la kanisa la Anglican(SAFINA HOUSE) mjini Dodoma, inaweza kuwa kama ya Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam

Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
Kupanua barabara za katikati ya DODOMA,ni jambo ambslo halitekelezeki kama ilivyo barabara za Postal na Kariakoo
 
Jengo hilo lipo katikati ya mji hivyo halina shida, bahati nzuti ni kuwa barabara kuu imeondolewa mjini na kujengwa nje ya mji, hii ni kulingana na kanuni za barabara kuu.
Exactly
 
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
Haiwezi kuwa kumbuka ipo barabara ya ring road ambayo itafanya msongamano wa magari katikati ya mji kuwa mdogo sana
 
Back
Top Bottom