Duh,leo presha zitatupanda sana.Asubuhi ilikuwa juu baada ya tetesi za akina Rostam na sasa imepadna tena baada ya tetesi hii.Lakini yote kheri
hapana asife sasa hivi bado tunamhitaji ili arudishe mapesa ya watanzania
hata mara ile ya kwanza niliwaambia hapa ndani ya JF alikunywa sumu na hakuwa na malaria wala nini.... kama kanywa tena ni mara ya pili itakuwa!!!
Wakinywa sumu mafisadi 10 hivi wakafilia mbali huko, Tanzania will be a safer place. Si wanahatarisha uchumi na usalama wa nchi hawa, au mi ndo sikusikia vizuri!!
Aaamin! nadhani ipo siku utalala hai tu.....
nadhani na close associates wake kama kina mtikila waliomkopa inabidi wahojiwe pia...
Nikusahihishe mkuu, Mtikila alimkopa Rostam (kama kweli) na si Manji. Jamani au isikuta kazidiwa madawa yaleeeeee. Si unajua anabwia yule!!!!!!!