Hatima ya Manji na Uchunguzi wa EPA

Hatima ya Manji na Uchunguzi wa EPA

Mkuu Mnyoofu
Tungekuwa na usalama wenye mawazo safi kama yako, miaka kumi ingekuwa mingi kuwamaliza wahujumu uchumi.
Tatizo hawa jamaa wanadhani DNA ni ya kupima watu wanaokata watoto tu. Hawajui kuwa hiyo mashine ni moja ya nyara za taifa

Jamani wanaJf huko aliko Manji any news? Maana kuna watu hata hujui uombe Mungu wafe ama waishi! As we know sala must be specific ili ijibu

Ebu tuwe realistic kidogo, tujiulize maswali mawili:
(1) Ni taasisi gani inashughulika na mambo ya kufanya DNA analysis hapa nchini kwetu Tanzania - JIBU ni Mkemia Mkuu wa Serikali.

(2) Tujiulize swali la nyongeza kwamba - Je tuna Imani na taasisi hii kwamba inafanya kazi kisayansi? JIBU ni kwamba HATUNA IMANI na taasisi hii kiasilimia 100. Reasoning ni kwamba ukitumia references kadhaa, mfano reference ya what happened with unga "tata" wa Mwakyembe bungeni Dodoma basi we don't have confidence with this government body kabisa.

Mkemia mkuu wa serikali ni taasisi ambayo iko kivyakevyake. Ni taasisi ambayo iko biased, politicized na haiko pale ku-produce scientific results, bali kuendeleza propaganda zisizofuata misingi ya sayansi. Ni taasisi ambayo inapaswa kuheshimika kama zinavyoheshimika taasisi nyingine duniani zinazofanya mambo nyeti kama yafanywayo na Mkemia Mkuu wa Serikali, ila cha ajabu ni kwamba an average Joe can accurately predict the outcome of investigation ambayo ingefanywa na taasisi hii, kitu ambacho ni kinyume kabisa cha professional ethics za kushughulikia masuala nyeti kama haya.

Hivyo basi tusitegemee Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutuletea majibu ya kueleweka juu ya DNA ya Manji maana their reasoning (decision making) is COMPLETELY not based on science.
 
Some of the things that people come up with in here..lol Sasa taking a sample of his DNA itasaidia nini.. if the man is a fugitive from justice, the court can issue a warrant.. police waende wakachukue sample nyumbani kwake.. Hair brush or whatever.. and assuming he runs, DNA itasaidia nini wakati anajulikana.. the man has a company with some ridiculous turnover.. why would he run.. Kwani mmeskia huyu ni Vithlani jambazi.. The guy has too much to lose hawezi ondoka popote.. N EPA wasnt really his thing. huyu jamaa kabanwa alipe hela za Kagoda alafu labda wamemgeuka wanataka kumsulubu... ndio maana anadata..otherwise it makes no sense. He can afford the best defence attorneys on the Planet..
 
WAKUU<
Nimethibitisha kwa sosi yangu iliyo pale agakhan,kwamba ni kweli kua yupo pale,na ni kweli kwamba hali yake ni dhoofu,lakini sio sumu ila alijiovadozi yale mambo yake,na jana jioni hali ilizidi kua mbaya,kwa hio ni kweli na uhakika kabisaa kua huyu mwizi ni hoi,ila mungu atusaidie asife kabla ya yeye kupanda pale kisutu,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU ILINDE JF!
 
Duh,leo presha zitatupanda sana.Asubuhi ilikuwa juu baada ya tetesi za akina Rostam na sasa imepadna tena baada ya tetesi hii.Lakini yote kheri

Mimi kwakweli baada ya habari ya Karamagi (TAYARI), RA na Warioba (NJIANI) kutozaaa matunda yoyote, NAANZA KUWA NA WASI WASI NA VYANZO VYA HABARI VYA BREAKING NEWS ZA JF.

TAFADHARI HAKIKISHENI VYANZO VYENU KABLA HAMJAPOST HAPA.
 
then if yajulikana fika kuwa anatumia yale mambo afunguliwe kesi ya kwanza ya hayo mambo huku akijiandaa kuwa featured na wenzake wa Epa kwenye ile kesi yao bab k.
 
Mimi kwakweli baada ya habari ya Karamagi (TAYARI), RA na Warioba (NJIANI) kutozaaa matunda yoyote, NAANZA KUWA NA WASI WASI NA VYANZO VYA HABARI VYA BREAKING NEWS ZA JF.

TAFADHARI HAKIKISHENI VYANZO VYENU KABLA HAMJAPOST HAPA.

Mimi sasa nimeanza kukosa imani kabisa kwa tukio la jana.
Watu tumetoa news kwa rafiki zetu saizi tunaonekana waongo jamani tuwe makini sana na hizi habari zilizo vunjika vunjika.
 
hata mara ile ya kwanza niliwaambia hapa ndani ya JF alikunywa sumu na hakuwa na malaria wala nini.... kama kanywa tena ni mara ya pili itakuwa!!!

Kichaa akiingia sokoni haponi kamwe!
 
Jamani acheni mtoto wa mwenzeni achanganyikiwe yani mahela wamechota wengine yeye akauziwa mbuzi kwenye gunia ndio mana anajifanya mara network haikamati mara haisachi mara or channel hazishiki antena imekaa vibaya hana lolote yani sasa hivi tulipofikia mbwai ni mbwai tu. Jamani ee mlioko maene ya hospitali hiyo tupeni news wenzenu tunahamu ya kupata habari chai itapoa leteni maandazi.
 
halafu hivi jamani wale wenzetu waliotuletea zile habari za jana za wazee wazima mbona mlituacha njia panda ? hivi ni kweli wale watu walipandishwa kizimbani au udaku jamani tuwe makini na habari zetu, wengine mlituacha na presue kwani tulisubiri yule aliyesema yupo kwenye kibanda cha magazeti karibu na mahakama ya kisutu atuletee news tukaona hola hakuna habari wala nini sasa inakuaje swaiba ?
 
Mimi sasa nimeanza kukosa imani kabisa kwa tukio la jana.
Watu tumetoa news kwa rafiki zetu saizi tunaonekana waongo jamani tuwe makini sana na hizi habari zilizo vunjika vunjika.

Nani kakwambia upeleke kwa rafiki zako wakati toka mwanzo imesemwa ni tetesi? Kama ni kupeleka basi na wewe ungewambia kuwa ni tetesi. Hata hivyo hiyo ndo hatari ya kutoa "Ma Breaking News"!

Nadhani kulikuwa na ukweli ndani yake kwani gazeti moja leo limeandika kuwa Karamgi aliponea chupuchupu kupelekwa Kisutu. Kisa, DPP alisema ushaidi bado haujatosha! I think the news was reliable/credible. May be the leakage of such news was the cause of postponing the case!
 
jamani kweli huyu manji mgonjwa,lakini sio sumu ni yale mambo yake ameyazidisha,inawezakana,makusudi kafanya hivyo
 
Mimi kwakweli baada ya habari ya Karamagi (TAYARI), RA na Warioba (NJIANI) kutozaaa matunda yoyote, NAANZA KUWA NA WASI WASI NA VYANZO VYA HABARI VYA BREAKING NEWS ZA JF.

TAFADHARI HAKIKISHENI VYANZO VYENU KABLA HAMJAPOST HAPA.

Kuna tetesi kuwa Karamagi, Zakia na Msabaha wameungana na Mramba na Yona jana. Saa hizi wako pale Keko kwenye VIP cells. Kama ni kweli Invisible aichangamkie hii atupe taarifa kamili. Nasikia ilikuwa siri kubwa sana.
 
jamani Christmas yote hii .. watu wanaenda gerezani .. this is the worst year for them 2008 .. wanatamani hii balaaa ingesubiri mpaka newyear ipite.
 
Da naima vicomment vyako huwa vinaniacha hoi...... ila ni kweli xmass yao itakuwa segerea ila hawa wenzetu sio kama vibaka wa kawaida ambao hukaa miaka rumande kabla ya kesi zao kusikilizwa mahakamani.... hawa zao zitasikilizwa mapema na si ajabu x-mass wakawa nje kwa dhamana!
 
jamani Christmas yote hii .. watu wanaenda gerezani .. this is the worst year for them 2008 .. wanatamani hii balaaa ingesubiri mpaka newyear ipite.

Ni tetesi tu Naima, usije ukanifunga na maneno yangu. Na nimeona sasa hivi MMJ amesema ameongea na Zakia, anadai hayuko Keko ni uzushi tu. Nenda thread "Karamagi, Zakia na Msabaha wako Keko?"
 
Manji anaogopa !!! asife mapema tunamwombea apone ili arudishe mamilioni ya wazalendo waTanzania halafu ndio afe.... Madaktari wajitahidi kurudisha afya yake huyo gwiji wa Mafisadi.
 
Ni tetesi tu Naima, usije ukanifunga na maneno yangu. Na nimeona sasa hivi MMJ amesema ameongea na Zakia, anadai hayuko Keko ni uzushi tu. Nenda thread "Karamagi, Zakia na Msabaha wako Keko?"

Mwenzangu nimesoma .. ila kaniacha hoiiii MMJ kamwambia Mbassa aende msn .... nilifikiri atatuambia sote twende .. Nikama uko katikati ya marafiki zako wawili wanatokea mkoa mmoja nawewe uko pekeyako halafu wanashort wave .. utajisikiaje ??? habari vipande pande yameshakuwa makubwa ngoja nikae pembeni
 
jamani Christmas yote hii .. watu wanaenda gerezani .. this is the worst year for them 2008 .. wanatamani hii balaaa ingesubiri mpaka newyear ipite.

Kwao muda mrefu imekuwa Christmas na New Year acha wapumzike kidogo huko gerezani wawape company wafungwa wengine!!
 
Da naima vicomment vyako huwa vinaniacha hoi...... ila ni kweli xmass yao itakuwa segerea ila hawa wenzetu sio kama vibaka wa kawaida ambao hukaa miaka rumande kabla ya kesi zao kusikilizwa mahakamani.... hawa zao zitasikilizwa mapema na si ajabu x-mass wakawa nje kwa dhamana!

Nashukuru MJ1

umesema nje kwa dhamana buddy?? bado hawako huru ..wenzentu wanaenda majuu kama kunywa maji vile leo hiii hana hata passport hawezi kugeuka .. nikama kuambiwa ulale ubavu mmoja usiku kucha bila kugeuka .. kaaaazi kweli kweli

MJ1 wanasubiri kuchinjwa hao .. leo wametest adha ya wanyama wanaochinjwa siku za sikukuu ... unamnunua mapema .. watoto wanauliza baba huyu mbuzi wa kuchinja s/kuu .. bila ya kujali kwamba na yule mbuzi anamaskio anasikia vyema ... wache wale s/kuu tu wengine wapotea kwa presha si unayaona ya mwenzetu hapo juu??
 
Back
Top Bottom