Hatima ya Unafiki na Uwongo Katika siasa!

Halafu huyu Richard anawafanya wa Tanzania wa sasa na wale waliokuwa wanatishwa kwa uhujumi uchumu wakawa wanatupa PESA mitoni, kuna tofauti sasa, dunia ya sasa ni ya utandawazi huwezi kuzuia mawazo mmbadala ya watu hasa katika ulimwengu huu wa net. Kama umepewa kazi maalum kwa ajiri ya kutisha watu wenye mawazo tofauti na yenu, basi tubu mrudie Muumba wako, kwa kuwa hiyo kazi yako inawaletea mateso watu wenye mawazo mmbadala. achana na hizo issue nenda shamba kafungue miradi ya kilimo na ufugaji, na mungu atakubariki utapata kipata halali na cha kumpendaza mungu wako
 
Punguza povu... Kwani aliyesema unachama nani?
Unatafakari kutumia makamasi!?
Sasa nitaanzaje kuwakumbusha.
Empty vessels makes more noise.
Wewe ni Numbskull maana unasema niwakumbushe wakati mimi sio mwanachama.
 

Kama mawazo mbadala ni hayo ya hapo juu, basi tuna safari ndefu sana.

Hata hivyo nimejadiliana kwa kirefu na mleta mada huko PM na kila mtu anafahamu msimamo wa mwenzie.

Ila msimamo wangu ni kwamba Videos alizoweka hapa hazilingani na hali ya kisiasa ya sasa Tanzania kama alivyodai (naona amefanya edit sehemu hiyo) alitumia neno la kiingereza akasema "the current political situation in Tanzania." ndiyo nikamuuliza yeye ni mwerevu sana?

Pia Samuel Doe Prince Johnson na Charles Taylor walikuwa ni majambazi tu yaani "war lords"

Huwezi kuwafananisha watu hao na mwanasiasa yoyote yule aliepo Tanzania achilia mbali hali ya kisiasa ya nchi hizo mbili na ya Tanzania.
 
Acha kujitoa ufahamu wewe tatizo maccm yakiambiwa ukweli mnasema uchochezi,, hapo uchochezi uko wapi

Wewe ni sungura mjanja sitaweza kukufukuza utanipiga chenga nyingi.
 
KUNA SIKU UTACHOMOLEWA TU HUKO UNAKOJIFICHA. UNAJIFANYA KUANDIKA HAPA NCHINI WAKATI UMEJIFICHA KWA SHEMEJI YAKO MAREKANI NA UMECHUKUA URAIA WA KIKARATASI!!
 
Dah pole sana aiseee kwa kuunguliwa nyumba na magari, kikubwa roho. Nimeona mada yako imeondoshwa pia hebu iache tuisomee huku huku haina shida
 

Sasa unataka kulazimisha mawazo na maono yako ndio yawe maono na mawazo ya watu wote??embu acha utoto wewe
 
Kwa kiongozi mwenye uelewa atajifunza kitu kwenye hii post
 
inatisha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Sio Tu Elimu Bure Samuel Doe alikuwa akiingia Mashambani Kulima Pamoja na Wakulima, Huwezi Kufanya Mema Nusu na Maovu ya Makusudi nusu halafu Ukijumlisha Unakuta Jibu kuwa wewe Ni Kiongozi Bora!
 
Sio Tu Elimu Bure Samuel Doe alikuwa akiingia Mashambani Kulima Pamoja na Wakulima, Huwezi Kufanya Mema Nusu na Maovu ya Makusudi nusu halafu Ukijumlisha Unakuta Jibu kuwa wewe Ni Kiongozi Bora!
Hayo mabaya ni yapi kwa mfano?!?!?!
 
Sasa nitaanzaje kuwakumbusha.
Empty vessels makes more noise.
Wewe ni Numbskull maana unasema niwakumbushe wakati mimi sio mwanachama.
Kama we ni mwalimu basi wanafunzi wanahasara. Uelewa wako ni duni sana.
Nikusaidie,hakuna sehemu nimekuomba umkumbushe mtu chochote.
Kama ni mwalimu basi unafundisha ujinga
 
Usiwasahau wale wahamasishaji wa maandamano,siku nyumbu wakijitambua....
Wewe kweli ni dolt.
Nani ameandika hizi post.
A dull and blockhead person.
Umenianza halafu unakataa.
Ungepita kimya kwenye post yangu,wewe ni empty headed.
Kama we ni mwalimu basi wanafunzi wanahasara. Uelewa wako ni duni sana.
Nikusaidie,hakuna sehemu nimekuomba umkumbushe mtu chochote.
Kama ni mwalimu basi unafundisha ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…