wise samura
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 515
- 297
So wasema lowasa na sumayee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Nitaweka, Mii sina Madharau Mkuu! Niumefundishwa somo Kubwa sana Na wamarekani, Nina Marafiki ambao anaheshimu Kila mtu, anavaa Kirahisi, hana Majivuno, Lakini Bank ana $ 200,000,000 na Nyumba anayoishi utakuta ni kama $ 15,000,000. Matatizo ya Waafrika na Viongozi wao ni Kujiabudu! Halafu wanafikiri wao kwa Kuwa Ni Viongozi Basi ni Watu Maalumu wapaswao Kuabudiwa na Kuogopwa. Asee Mimi Siogopi Mwanadamu ambaye ni NYAMA tu!Weka link tena iyo video ya pili
Maana nimeangalia ya tatu jamaa balaa kakatwa masikio yote na bado ana nguvu ya kuongea
Kariuki alikuwa Mwizi, na Fisadi Mkubwa sana, Nitakupa Ref. Hapo chini, Lakini Nikuulize, Je Unaweza Kunionyesha Nikimtaja Magufuli? Kumbe wewe mwenyewe Umechora Picha Ukamwona! kwenye Mada yangu basi Hongera Lisemwalo lipo!
Ufisadi wa JM Kariuki
Tafuta Kitabu Hiki, Ni Bei Mbaya Lakini $ 300 hivi
Ningekupa Copy yangu, Lakini, Vitabu vyangu Viliungulia Kwenye Nyumba yangu Iliyoungua 2012 Dec. 22 na Kuunguza Kila Kitu Ikiwa ni Pamoja na Magari yangu Mawili. Ila sasa Kila Kitu Kiko Vizuri.![]()
Kabla sijakujibu labda Unisaidie nijue Unachotaka KuniambiaUnafikiri wewe ni mwerevu sana siyo?
Kumbuka, ukinyanyua miguu wakti unatembea kuna watu wanakanyaga alama za viatu vyako.
Kumbuka umeanzisha nyuzi tofauti.
Unafikiri wewe ni mwerevu sana siyo?
Kumbuka, ukinyanyua miguu wakti unatembea kuna watu wanakanyaga alama za viatu vyako.
Kumbuka umeanzisha nyuzi tofauti.
I don't Like your threats can you explain your claim that somepeople are following me? Is it you? The FBI can just put few key strokes and find out who you are, Let me know what You mean before I report you to the Law enforcement. I don't take such threats lightly! This is a record for you. Kutuma watu Kufuatilia Raia au Mkazi wa Nchi Nyingine Ni Ugaidi. Utawazulia Unaowatetea Zogo Utakalojutia Am an American who was Born in Tanzania and my Country has a sacred freedom of speech. I dare you to Threat me one more time! Mimi sio Kama Kadegeya aliyefuatwa na Kuuliwa Africa Kusini Hotelini.
Naeleza Haya Yote Nikitoa Wito Kwa Viongozi wetu Kuwa, Wajiepushe Kuwa Wanafiki na Wachafu, Kama Wameamua Kujitolea Kusafisha Uchafu wa Nchi! Na wafanye haki Katika yote, sio Ujanja Ujanja, Kwani Kuiba haki na Uhuru wa watu Pia Ni sawa na Fisadi anayeiba fedha za watu hao hao, wote ni Waovu! FISADI NA MWONEVU, FISADI NA MNAFIKI, FISADI NA DICTATOR Wote Ni Sawa, WAOVU!
Kabla sijakujibu labda Unisaidie nijue Unachotaka Kuniambia
Malumbano Sina Muda nayo Nimekuonyesha Kopi ya Kitabu Kilichoelezea Kwa Undani Jinsi JM. Kariuki alivyopata mali na Pesa zake. Alikuwa na Umri Mdogo sana na aulikwa Milionea aliyepata Utajiri huo kwa njia za haramu kama wale waliomuua. Sasa Mimi Niseme mara Ngapi? Halafu hii Tabia ya Kila Mtu akisema Kitu Mnasema Ni Uchochozi Ni Mbaya, Mimi Sijasema Mtu yeyote Amdhuru Mtu, Mungu Ni shahidi Kila Nikitazama Video na Picha za Doe natokwa Machozi, Mimi Sio Mtu Ninayefurahi mateso ya Mwingine hata kama sio mtu Mwema, Nimetumia Hizi Video na Picha Ili Kutumia Njia ya Kugusa Hisia sana, Na Pengine Wale Viongozi wetu wataona, na Watabadilisha baadhi ya Tabia ambazo zinaweza Kuleta Majuto kama haya. MUNGU WANGU NI SHAHIDI, I dont wish evil to any one! Si bora Nimwambie Mtu Ukweli Nimponye Kuliko Kumpigia Makofi halafu siku Moja aangamie, au acha Kuangamia akosee sana na ajute?Sihitaji kukwambia chochote ila nakuuliza unafikiri huo uchochezi utakufikisha wapi? Hujajibu suali langu la msingi hapo juu.
Unahusisha hao jamaa wawili ambao ni war lords na huyo Kariuki kwa kama unavyosema current situation ya Tanzania unamaanisha nini?
Au unadhani kuna watu hawatakuelewa lengo lako?
Malumbano Sina Muda nayo Nimekuonyesha Kopi ya Kitabu Kilichoelezea Kwa Undani Jinsi JM. Kariuki alivyopata mali na Pesa zake. Alikuwa na Umri Mdogo sana na aulikwa Milionea aliyepata Utajiri huo kwa njia za haramu kama wale waliomuua. Sasa Mimi Niseme mara Ngapi? Halafu hii Tabia ya Kila Mtu akisema Kitu Mnasema Ni Uchochozi Ni Mbaya, Mimi Sijasema Mtu yeyote Amdhuru Mtu, Mungu Ni shahidi Kila Nikitazama Video na Picha za Doe natokwa Machozi, Mimi Sio Mtu Ninayefurahi mateso ya Mwingine hata kama sio mtu Mwema, Nimetumia Hizi Video na Picha Ili Kutumia Njia ya Kugusa Hisia sana, Na Pengine Wale Viongozi wetu wataona, na Watabadilisha baadhi ya Tabia ambazo zinaweza Kuleta Majuto kama haya. MUNGU WANGU NI SHAHIDI, I dont wish evil to any one! Si bora Nimwambie Mtu Ukweli Nimponye Kuliko Kumpigia Makofi halafu siku Moja aangamie, au acha Kuangamia akosee sana na ajute?
Acha kujitoa ufahamu wewe tatizo maccm yakiambiwa ukweli mnasema uchochezi,, hapo uchochezi uko wapiSihitaji kukwambia chochote ila nakuuliza unafikiri huo uchochezi utakufikisha wapi? Hujajibu suali langu la msingi hapo juu.
Unahusisha hao jamaa wawili ambao ni war lords na huyo Kariuki kwa kama unavyosema current situation ya Tanzania unamaanisha nini?
Au unadhani kuna watu hawatakuelewa lengo lako?
Usiwasahau wale wahamasishaji wa maandamano,siku nyumbu wakijitambua....Ujumbe huu unamhusu dikteta wetu uchwara.
Aged/bone head like you?Usiwasahau wale wahamasishaji wa maandamano,siku nyumbu wakijitambua....
Kuna Baadhi ya Wanasiasa Walisikitisha sana Hatima yao, Nitawataja wawili ambao Visa Vyao Nimevifuatilia Kwa Undani Hasa. Kuna Rais aliyefikia Mauti Kwa Njia ya Kinyama kabisa wa Taifa La Liberia aliyeitwa Samuel Doe, Huyu aliingia Madarakani Kwa Kupindua Serikali, Kisha siku chache akasindika Nguzo baharini na akawapiga Risasi Viongozi wa serikali iliyopinduliwa Akidai ni Mafisadi na walitawala kwa Kiimla.
Cha Kushangaza, Miaka chini ya sita baadaye na yeye akawa Fisadi wa Kutisha na akatawala kwa Mabavu zaidi ya waliomtangulia, Wahasimu wake wawili Charles Taylor na Prince Johnson Lendawazimu sana, Wakaanzisha Vita vya Uasi na Mwishowe kwa Kusalitiwa na Mkuu wa Majeshi wa UN, Samuel Doe akatekwa, na akafikiwa na Mauti ya fedheha Kuliko alivyowaua wapinzani wake. Hakuna haja ya Kueleza ila Dunia Nzima inajua yaliyomfika.
Aliwapiga risasi Viongozi wa Serikali Mbele ya Halaiki.
Hapa Doe Akiwa Metekwa Kutoka Kambi ya UN na Kuletwa Kambi ya Prince Johnson, Hapa wanamvua Nguo, Kumchoma Visu na Kumkata Masikio! (Alistahili kwa Kuwa hakujali wengine)
Hapa Johnson Ameshamkata Masikio, amemkabidhi kwa askari wake Waendelee Kumtesa na Kumwagia Mikojo huku wakimhoji na Kumtusi, (Doe alistahili kwa Kuwa alifurahia mateso ya wengine)
Hapa Wakiwa wameshamuua Wakianza Safari ya Kumzungusha Mji Mzima wa Monrovia
![]()
Na Yeye akauawa na Kuburuzwa Kwenye Kitoroli Mji Mzima wa Monrovia.
Wakati wakimzungusha Mitaani Baadhi wakaamua Wamnyoe Nywele zake na Kisha Kumkata Uume wake. Akawa Kioja mbele za watu wote (Kipimo Unachopimia Wengine ndicho utakachopimiwa)
Ukiwa Unadhambi Jipime sana Kabla Hujarushia Mawe, Kuhukumu wadhambi wengine. (Not sitetei Mafisadi, I don't care, Naonya Tu Juu ya UNAFIKI)
Hapo Jirani Na Tanzania Kulikuwepo Na Mbunge na Waziri Mmoja Miaka ya 70, Mbunge huyu wa Nchini Kenya alijulikana kwa Jina Maarufu kama JM. Kariuki, au Josiah Mwangi Kariuki. Huyu alikuwa akifanya siasa za Kujihusisha sana na Wanyonge, akitetea Masikini, akiwashutumu Viongozi wengine Kuwa Ni Mafisadi, akamshutumu mpaka Rais wake Mzee Jomo Kenyatta. Lakini ambacho Wakenya wengi walikuwa hawajui, JM Kariuki alikuwa Mwenyewe Ni Mwizi, Fisadi, Mbadhilifu na Mshiriki katika Uporaji wa Ardhi na Mashamba. Sasa Kwa Kuwa Viongozi Wenzake walimjua, kuwapaka matope alikowapaka matope bila yeye kuwa Msafi Kuliwapa kinyaa na Hasira Kubwa sana dhidi yake, Basi Siku Moja wakamwita Katika Ofisi Kuu ya Upelelezi wakampiga sana na Kumpiga risasi na hatimaye wakaenda Kutupa Mwili wake Katika Msitu wa Kishetani, Msitu wa Ngong, Msitu wa Ngong Kenya Ni Msitu wanakotupwa watu wanaouawa Kinyama Kama Ilivyo Msitu wa Mwabepande Tanzania.
![]()
Utajiri wa Kariuki huu hapa!
JM Kariuki’s widows agree on sharing wealth
Naeleza Haya Yote Nikitoa Wito Kwa Viongozi wetu Kuwa, Wajiepushe Kuwa Wanafiki na Wachafu, Kama Wameamua Kujitolea Kusafisha Uchafu wa Nchi! Na wafanye haki Katika yote, sio Ujanja Ujanja, Kwani Kuiba haki na Uhuru wa watu Pia Ni sawa na Fisadi anayeiba fedha za watu hao hao, wote ni Waovu! FISADI NA MWONEVU, FISADI NA MNAFIKI, FISADI NA DICTATOR Wote Ni Sawa, WAOVU!
Kuna Baadhi ya Wanasiasa Walisikitisha sana Hatima yao, Nitawataja wawili ambao Visa Vyao Nimevifuatilia Kwa Undani Hasa. Kuna Rais aliyefikia Mauti Kwa Njia ya Kinyama kabisa wa Taifa La Liberia aliyeitwa Samuel Doe, Huyu aliingia Madarakani Kwa Kupindua Serikali, Kisha siku chache akasindika Nguzo baharini na akawapiga Risasi Viongozi wa serikali iliyopinduliwa Akidai ni Mafisadi na walitawala kwa Kiimla.
Cha Kushangaza, Miaka chini ya sita baadaye na yeye akawa Fisadi wa Kutisha na akatawala kwa Mabavu zaidi ya waliomtangulia, Wahasimu wake wawili Charles Taylor na Prince Johnson Lendawazimu sana, Wakaanzisha Vita vya Uasi na Mwishowe kwa Kusalitiwa na Mkuu wa Majeshi wa UN, Samuel Doe akatekwa, na akafikiwa na Mauti ya fedheha Kuliko alivyowaua wapinzani wake. Hakuna haja ya Kueleza ila Dunia Nzima inajua yaliyomfika.
Aliwapiga risasi Viongozi wa Serikali Mbele ya Halaiki.
Hapa Doe Akiwa Metekwa Kutoka Kambi ya UN na Kuletwa Kambi ya Prince Johnson, Hapa wanamvua Nguo, Kumchoma Visu na Kumkata Masikio! (Alistahili kwa Kuwa hakujali wengine)
Hapa Johnson Ameshamkata Masikio, amemkabidhi kwa askari wake Waendelee Kumtesa na Kumwagia Mikojo huku wakimhoji na Kumtusi, (Doe alistahili kwa Kuwa alifurahia mateso ya wengine)
Hapa Wakiwa wameshamuua Wakianza Safari ya Kumzungusha Mji Mzima wa Monrovia
![]()
Na Yeye akauawa na Kuburuzwa Kwenye Kitoroli Mji Mzima wa Monrovia.
Wakati wakimzungusha Mitaani Baadhi wakaamua Wamnyoe Nywele zake na Kisha Kumkata Uume wake. Akawa Kioja mbele za watu wote (Kipimo Unachopimia Wengine ndicho utakachopimiwa)
Ukiwa Unadhambi Jipime sana Kabla Hujarushia Mawe, Kuhukumu wadhambi wengine. (Not sitetei Mafisadi, I don't care, Naonya Tu Juu ya UNAFIKI)
Hapo Jirani Na Tanzania Kulikuwepo Na Mbunge na Waziri Mmoja Miaka ya 70, Mbunge huyu wa Nchini Kenya alijulikana kwa Jina Maarufu kama JM. Kariuki, au Josiah Mwangi Kariuki. Huyu alikuwa akifanya siasa za Kujihusisha sana na Wanyonge, akitetea Masikini, akiwashutumu Viongozi wengine Kuwa Ni Mafisadi, akamshutumu mpaka Rais wake Mzee Jomo Kenyatta. Lakini ambacho Wakenya wengi walikuwa hawajui, JM Kariuki alikuwa Mwenyewe Ni Mwizi, Fisadi, Mbadhilifu na Mshiriki katika Uporaji wa Ardhi na Mashamba. Sasa Kwa Kuwa Viongozi Wenzake walimjua, kuwapaka matope alikowapaka matope bila yeye kuwa Msafi Kuliwapa kinyaa na Hasira Kubwa sana dhidi yake, Basi Siku Moja wakamwita Katika Ofisi Kuu ya Upelelezi wakampiga sana na Kumpiga risasi na hatimaye wakaenda Kutupa Mwili wake Katika Msitu wa Kishetani, Msitu wa Ngong, Msitu wa Ngong Kenya Ni Msitu wanakotupwa watu wanaouawa Kinyama Kama Ilivyo Msitu wa Mwabepande Tanzania.
![]()
Utajiri wa Kariuki huu hapa!
JM Kariuki’s widows agree on sharing wealth
Naeleza Haya Yote Nikitoa Wito Kwa Viongozi wetu Kuwa, Wajiepushe Kuwa Wanafiki na Wachafu, Kama Wameamua Kujitolea Kusafisha Uchafu wa Nchi! Na wafanye haki Katika yote, sio Ujanja Ujanja, Kwani Kuiba haki na Uhuru wa watu Pia Ni sawa na Fisadi anayeiba fedha za watu hao hao, wote ni Waovu! FISADI NA MWONEVU, FISADI NA MNAFIKI, FISADI NA DICTATOR Wote Ni Sawa, WAOVU!