Kwani hizo design unazohisi ni za kike zinabeba mimba? Mbona tunaendesha hatuoni papuchi mle.
Sijakuelewa, inamaana anayesukuma Alteza ana hela kuliko wa Kluger?Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.
Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.
Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Ongeza tako la nyani, napenda sana ile kituAtakuwa hajaiona huyo, sahivi Toyota gari zao zinarudi into shape nzuri za kuvutia, Prado, Highlander, Rav4, Land Cruiser binafsi shape ya kilimo kwanza ni kama iliharibu muonekano wa cruiser ila facelifted ya 2017 imerudisha heshima.
Toyota walipo chemka ni kwenye Prado
Basi nna miaka mitatu tangu nmeolewa na vits.Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.
Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.
Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Basi nna miaka mitatu tangu nmeolewa na vits.Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.
Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.
Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Huu ni ushamba wa kihaya kabisaKwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.
Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.
Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
mtoa mada ukute hata bodaboda huna hapo labda unaandika hii post huko kwenye DCM la Mbagala PostaNaweza kusema Toyota ameanza kurudi kwenye mstari wa kutengeneza vyombo vya uhakika baada ya kutoka kutufyatulia uchafu kadhaa kati ya miaka 2012-2017 hapo.
Wale designer wa gari ambazo hazitazamiki nadhani watakuwa wameshapangiwa kazi nyingine mpaka sasa kama sio kuwa fired kabisa. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wa gari za Toyota za sasa.
Hatimae 2019 tu design mpya ya RAV 4 ambayo imekaa kiume binafsi nimeielewa sana na naweza kuhamia katika hio brand panapo majaliwa. RAV 4 nilikua sizikubali kabisa licha ya fuel economy ila shepu yake ya kike ilikuwa inanikera hata hazipimpiki yani.
Ichekini 2019 Rav 4 hapa.
Je Dar Couch?
Sasa Mkuu ni kweli linaonekana muonekano Wa kiume ila huenda likawa shoga je ulishawahi kuliona Toyota stout pua ya ng'ombe?Naweza kusema Toyota ameanza kurudi kwenye mstari wa kutengeneza vyombo vya uhakika baada ya kutoka kutufyatulia uchafu kadhaa kati ya miaka 2012-2017 hapo.
Wale designer wa gari ambazo hazitazamiki nadhani watakuwa wameshapangiwa kazi nyingine mpaka sasa kama sio kuwa fired kabisa. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wa gari za Toyota za sasa.
Hatimae 2019 tu design mpya ya RAV 4 ambayo imekaa kiume binafsi nimeielewa sana na naweza kuhamia katika hio brand panapo majaliwa. RAV 4 nilikua sizikubali kabisa licha ya fuel economy ila shepu yake ya kike ilikuwa inanikera hata hazipimpiki yani.
Ichekini 2019 Rav 4 hapa.
Unajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magariTafuta hela wewe usilalamike hovyo.