Povuuu...Hio ID ishatosha kunieleza we ni mtu wa class gani hivyo usiendelee kupoteza muda wako bure.Unajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magari
PovuUnajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magari
Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.
Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.
Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Hahahaha halafu unakuta huyo mtu nae anavimba eti ana gari mjini na funguo ananing'iniza kiunoni. Hopeless kabisa!Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Inawezekana kabisa mleta mada hana hela,ila nimependa anavyo enda na wakati. Kiukweli ukipenda vitu vizuri hata utafutaji unakuwa wa malengo.Unajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magari
Unapata safari ya ghafla Dar to Songea/Mbeya/Mwanza/Bukoba,n.k. badala ya kukimbilia kituo cha mafuta unaanza kuhangaika na fundi akuhakikishie kama kigari chako hakitachemsha njiani[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha halafu unakuta huyo mtu nae anavimba eti ana gari mjini na funguo ananing'iniza kiunoni. Hopeless kabisa!
Toyota walipo chemka ni kwenye Prado
Jaribu Lc 200 series uone!! Boss wa tbc kala nalo mzinga wa hatari kigoma ila hajang'oka hata ukucha!Me kampuni ya gari ikishaitwa Toyota naona kama nyanya, bodi zake ni nyepesi sana.
Mtoa mada ana gari la kubeba maiti Toyota Isis!!mtoa
mtoa mada ukute hata bodaboda huna hapo labda unaandika hii post huko kwenye DCM la Mbagala Posta
Isis ni gari la kiume?Dah siko kwenye bodaboda ila atleast siendeshi gari ya kike pia
Kumbe bado mdogo?I looooveee Rav 4 aisee,nikiwa mkubwa will buy one πππ
Sio kidogo sana tu,kwenye designing kuna shida,hasa bumper,mfumo wa taa na grill..Toyota walipo chemka ni kwenye Prado