Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Unajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magari
Povuuu...Hio ID ishatosha kunieleza we ni mtu wa class gani hivyo usiendelee kupoteza muda wako bure.
 
Mkuu hivi prado 2018 umeiona kweli?... Acha Lc200 series...
images.jpg
index.jpg
1734bff1235ea9196d3267cd2c24e47b.jpg
nengun-5153-06-wald-aero_parts_for_the_toyota_land_cruiser_prado_sports_line-cd53d828.jpg
 
Hicho 'kibiongo' hapo nyuma chanikera mie……..hata kama sina senti ya kuinunua….
 
Unajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magari
Povu
 
Hizi gari naona zote zitafanana sasa hapo inafananishwa na renge lover kiaina
 
Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.

Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.

Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
 
Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Hahahaha halafu unakuta huyo mtu nae anavimba eti ana gari mjini na funguo ananing'iniza kiunoni. Hopeless kabisa!
 
Unajuaje sina hela? We ungekuwa na hela ungekuwa unatolea macho magari mitandaoni? Inaonekana unatamani vitu ambavyo huna uwezo navyo. Una gari kali nenda maeneo ya bata kalingishiane na wakali wengine wenye ndinga kali siyo unakuja kutype type ushuzi wa kihaya humu unaonekana una machungu ya kukosa gari wewe. Wenye hela hawachungulii mitandaoni magari mapya wanatumiwa invitation na ma sales agents kununua kama huna taarifa. Nenda dt dobie kaulize wanavyouza magari
Inawezekana kabisa mleta mada hana hela,ila nimependa anavyo enda na wakati. Kiukweli ukipenda vitu vizuri hata utafutaji unakuwa wa malengo.
Tuzoee kuwa na vitu vizuri au kuwa na ndoto ya kumiliki tu.
 
Hahahaha halafu unakuta huyo mtu nae anavimba eti ana gari mjini na funguo ananing'iniza kiunoni. Hopeless kabisa!
Unapata safari ya ghafla Dar to Songea/Mbeya/Mwanza/Bukoba,n.k. badala ya kukimbilia kituo cha mafuta unaanza kuhangaika na fundi akuhakikishie kama kigari chako hakitachemsha njiani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha! unatafuta mnyama kama huyu halafu lenye exhaust kama hizo hapo chini...
LC200_Evo_Corse_1.jpg


yhst-131964867535317_2516_606799993.png
 
Back
Top Bottom