Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

mkuu kuendesha Toyota ni umaskini?[emoji24][emoji24]
Maisha hayako sawa......
ni kumeza ....na watu wengi wanaosema hivi hawanagata hata baskeli....sasa kati ya kuendesha toyota,kia,mazda,hyundai ipi haiaminiki au ni umaskini ?? mazda demio unaeza agiza kwa bei ndogo kama ya passo ....

pili kila mtu anaenda kwa anavovitaka ...mfano landcruiser LX huwez ikuta popote hamna kampuni.inatengeneza gari ya offroad kali vile ...kama unavyojua serikal yetu wakiamua fanya manunuzi hela kwao sio shida sasa ask your self kwann wamenunua LX ?? vxr v8 je utapata wap gari ka hiyo zaidi ya yale ma range rover luxury ila vxr gari ya kiume.....kwa vile toyota gari ndogo za diesel hawana sana kama unataka diesel kwa ajil ya mafuta na vinginenvyo ndo unaamia sasa kwa hizi kampuni nyngne mfano audi kina bmw VW nk
 
Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Hahahaaa, Wanaume katika ubora wenu
 
Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Haaaaa hatari jamani je Mark X je?
 
Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.

Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.

Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Mshikamoo
 
Tunaendesha Toyota kwasababu ya umaskini tu. Gari ni BMW, period.
Sema Toyota unazonunua wewe ni za umaskini wako wewe, Toyota ina magari mazuri na bora ( bei sasa)
Mfano V8s una hela ya kununua V8 mpya? Au unalalama kisa una IST?
 
Sema Toyota unazonunua wewe ni za umaskini wako wewe, Toyota ina magari mazuri na bora ( bei sasa)
Mfano V8s una hela ya kununua V8 mpya? Au unalalama kisa una IST?
Hahahaha..watu bwana mnadhani V8 mmemiliki wenyewe tu. Narudia tena tunanunua Toyota kwasababu ni maskini tu, huwezi kuendesha Toyota ukajifananisha na mwenye BMW au Mercedes.
 
Back
Top Bottom