Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me kampuni ya gari ikishaitwa Toyota naona kama nyanya, bodi zake ni nyepesi sana.
Comments nyingine mtu inabidi ucheke tu.Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Stalet toleo la mwisho ni 1999 nadhan na wakaacha kutoa hizo gariStarlet hawajatoa toleo jipya?
Nakusupport kabisa, kwanza model mpya hazina nguvu kabisa zinahema na kunywa wese tuToyota walipo chemka ni kwenye Prado
Chuma kinaingizaga vumbi ndani hatariii hata kama vioo vyote vimefungwa ukiwa off road ,afu huwezi ona vumbi limetokea wapi hahah.
Jamani, unavyoo ongea kuwa ponda wanaume wenzio utafkiri una bugati au ferari!! Gari gari bwana ilimradi unafika kule utakapo kwenda!! Na chamsingi kila mmoja anapato lake usiwalazimeshe wooote wawe na miprado!Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Ushakuwa mkubwa sasa.... Sema ukiwa na mavumba ya kutoshaI looooveee Rav 4 aisee,nikiwa mkubwa will buy one 🙂🙂🙂
Ujue body ngumu gari inakuwa nzito na fuel consumption kubwa.Zipo nyingi sana zimerudishwa " vintage cars are now back "
Vw, Renault, Mercedes, Bentley, n...k....
Watu wanadatishwa na ile body yake, Lakini hamna kituNakusupport kabisa, kwanza model mpya hazina nguvu kabisa zinahema na kunywa wese tu
Extrovert shikamoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Za kimama tu, hazina hips ila zimekaa ki shawty!
Ndiyo nzuri sasa hizo...Ujue body ngumu gari inakuwa nzito na fuel consumption kubwa.
Hahah sitakagi hata kuliona aisee.Hakuna gari hapo...vumbi dunia nzima
Hahah sitakagi hata kuliona aisee.
kika hitaji humfaa muhitaji kuna wenzio hiyo bmw wanaona ni uchafu kwao wanatumia choper na unapo ongelea toyota kuwa ya kimaskin fafanua toyota gani maana kuna toyota ni ghali zaid ya bmwTunaendesha Toyota kwasababu ya umaskini tu. Gari ni BMW, period.
HahaahhahhaKwani hizo design unazohisi ni za kike zinabeba mimba? Mbona tunaendesha hatuoni papuchi mle.
Ni kweli, naona SUV nyingi zinazotoka sasa hivi zitafanana, Rav 4 hybrid, Harrier Hybrid, Subaru foresta 2019, na nyingine kibao, naona kwa sasa huo mwonekano umekuwa na mvuto sana kwenye SUV ndo maana watengenezaji wameanza kujikita huko.Hizi gari naona zote zitafanana sasa hapo inafananishwa na renge lover kiaina