Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Kwahiyo kaka Lemutuz nakile ki Noah anazingua? Ila nashangaa kaka na usuper billionaire wote habadilishi gari.. Noah tena number B. Ngoja nimtie hasira akahongwe ndinga sio kigari..
 
Naweza kusema Toyota ameanza kurudi kwenye mstari wa kutengeneza vyombo vya uhakika baada ya kutoka kutufyatulia uchafu kadhaa kati ya miaka 2012-2017 hapo.

Wale designer wa gari ambazo hazitazamiki nadhani watakuwa wameshapangiwa kazi nyingine mpaka sasa kama sio kuwa fired kabisa. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wa gari za Toyota za sasa.

Hatimae 2019 tu design mpya ya RAV 4 ambayo imekaa kiume binafsi nimeielewa sana na naweza kuhamia katika hio brand panapo majaliwa. RAV 4 nilikua sizikubali kabisa licha ya fuel economy ila shepu yake ya kike ilikuwa inanikera hata hazipimpiki yani.

Ichekini 2019 Rav 4 hapa.
Pole. Hutaweza kulitumia hili kama kwa sasa una 30+. Maana mpaka ije huku ikiwa used ambayo sisi tunaziita mpya unakuwa na 50+ maana gari nyingi tunazotumia cc ni za mwaka 2003-07.

Kingine kumbe wewe inaangalia urembo badala ya kuangalia specification za gari. Unaweza kuwa msukuma kwa kabila(joke) maana wao hawaangalii ubora wanaangalia rangi na maurembo.
 
Pole. Hutaweza kulitumia hili kama kwa sasa una 30+. Maana mpaka ije huku ikiwa used ambayo sisi tunaziita mpya unakuwa na 50+ maana gari nyingi tunazotumia cc ni za mwaka 2003-07.

Kingine kumbe wewe inaangalia urembo badala ya kuangalia specification za gari. Unaweza kuwa msukuma kwa kabila(joke) maana wao hawaangalii ubora wanaangalia rangi na maurembo.
Sawa sawa, utalitumia wewe mwenye miaka 18 sahivi na pesa za kutosha.

Nikukumbushe tu Engine za Toyota ni zile zile kiongozi 4-Stroke engine petrol and diesel hamna jipya zaidi ya hybrid options na maboresho katika suspension.

Hio gari ni 2.0L watachokuwa wamebadili ni mfumo wa uchomaji mafuta tu kama wanavyofanyaga. Walianza na Carburettor, wakaja EFI wakaiboresha kuja, Variable valve timing, Variable valve timing with intelligence, D-4 na sasa Valve matic ili kupata milage nzuri kwa litre ya mafuta.

Sasa unaponiita msukuma napatwa na kigugumizi kidogo.
 
Body nyepesi ni kwa ajili ya safety, pia hakuna gari yenye body ngumu sahivi. Body ngumu ziliishia miaka ya mwanzoni mwa 90 huko!
Uzito wa body Unamadhara kwenye uraji wa mafuta. Kila kampuni inataka kutengeneza gari bora itakoyotumia mafuta kidogo
 
Back
Top Bottom