Hatimae account ya instagram ya Mange Kimambi yarejea

Hivi account kama hizo sio kwamba zinatumiwa na makachero kupata info watakazo...

Unaweza ukawa unadhani unawasiliana na Kimambi kumbe unawasiliana na kitengo pendwa cha ukachero...
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Werawera [emoji23][emoji23][emoji23]
 
daah.......... mwenye insta yake karudi ...... ngoja ni install upya app ya insta maana bila mange ntapata wapi za jikoni????????? huyu dada ni wa tofauti sana mi namwita firebrand girl... my life will go on along with mange kimambi on instagram..
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…