Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Watoto ni rizq, kama pesa na majumba , na kila mtu hupata kwa wakati Mungu aliompangia . Usiwajaze huzuni wanawake siio kila mwanamke ni bogus na re kama ufikiriavyo .
Narudia tena miaka ijayo Tz itakuwa na watoto mazombie bogus, kwasababu sasa hivi wanawake mnatombeka sana, mnameza P2, mnafanya abortion, bad enough mmekuwa walevi...
Mwanamke kuzaa ukiwa na 35+ huko ni kuleta changamoto duniani... Shida yenu mnataka kujificha kwenye kichaka cha kuzaa au kuolewa ni mipango ya Mungu 🤣 mnasahau Mungu hujibu na kupanga kulingana na maisha yako yalivyo...
Wanawake endeleeni kucheza na dunia mwisho wa siku Tz/Africa itabaki na wanawake wazee wengi waliokosa matumaini ya kuishi...
 
Narudia tena miaka ijayo Tz itakuwa na watoto mazombie bogus, kwasababu sasa hivi wanawake mnatombeka sana, mnameza P2, mnafanya abortion, bad enough mmekuwa walevi...
Mwanamke kuzaa ukiwa na 35+ huko ni kuleta changamoto duniani... Shida yenu mnataka kujificha kwenye kichaka cha kuzaa au kuolewa ni mipango ya Mungu 🤣 mnasahau Mungu hujibu na kupanga kulingana na maisha yako yalivyo...
Wanawake endeleeni kucheza na dunia mwisho wa siku Tz/Africa itabaki na wanawake wazee wengi waliokosa matumaini ya kuishi...
Kaz ya uumbaji sio yako arifu , chekesha.
 
Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Mkuu, kila mtu na maisha yake. Usitake watu wafuate unayowaza kichwani wewe. Suala la kuoa vs kuolewa, kuzaa vs kutozaa, kuzaa mapema vs kuchelewa na maamuzi ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom