Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia tena miaka ijayo Tz itakuwa na watoto mazombie bogus, kwasababu sasa hivi wanawake mnatombeka sana, mnameza P2, mnafanya abortion, bad enough mmekuwa walevi...Watoto ni rizq, kama pesa na majumba , na kila mtu hupata kwa wakati Mungu aliompangia . Usiwajaze huzuni wanawake siio kila mwanamke ni bogus na re kama ufikiriavyo .
Kaz ya uumbaji sio yako arifu , chekesha.Narudia tena miaka ijayo Tz itakuwa na watoto mazombie bogus, kwasababu sasa hivi wanawake mnatombeka sana, mnameza P2, mnafanya abortion, bad enough mmekuwa walevi...
Mwanamke kuzaa ukiwa na 35+ huko ni kuleta changamoto duniani... Shida yenu mnataka kujificha kwenye kichaka cha kuzaa au kuolewa ni mipango ya Mungu 🤣 mnasahau Mungu hujibu na kupanga kulingana na maisha yako yalivyo...
Wanawake endeleeni kucheza na dunia mwisho wa siku Tz/Africa itabaki na wanawake wazee wengi waliokosa matumaini ya kuishi...
Atapata tuHuyu sasa, mbegu aina zote hata GMO zimekataa kumea, inawezekana hata IVF ishafeli, I presume the farm soil does not support any kind of seeds.i.e polluted beyond recovery
Jide ana 55 mbona ananizaa kabisa 🙆♀️Lady j d hakuwahi kumezà hayo p2, GGH alikaa nae 15 yrs hadi wakaachana hakupàta mimba, sasa technology imekuwa àmeweza kupàta mimba akiwa 55. Tumwombee apate mjukuu salama.
Wasabato na kiti wapi na wapiKitimoto na Bia
Damn!!!Lady j d hakuwahi kumezà hayo p2, GGH alikaa nae 15 yrs hadi wakaachana hakupàta mimba, sasa technology imekuwa àmeweza kupàta mimba akiwa 55. Tumwombee apate mjukuu salama.
Inawezekana chips + wine =kitambi Nicholas.Mmmhhh..!! Sio chips yai na kuku za broiler + kilevi
Mna shida gani na single mothers nyie? huu unaanza kuwa kama unyanyasaji sasaSingle Mother in Making 😊 Hongera zake
bado wema sepetu
Mkuu, kila mtu na maisha yake. Usitake watu wafuate unayowaza kichwani wewe. Suala la kuoa vs kuolewa, kuzaa vs kutozaa, kuzaa mapema vs kuchelewa na maamuzi ya mtu binafsi.Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Kwanini?Namuhurumia beki 3 atakae mlea huyu mtoto.