Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Za chinichini Kuna wapekuzi humu ndani
 
Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Mbona mleta mada kaeleza vizuri kuwa alikuwa anatafuta mtoto miaka mingi! Mtoto ni majaaliwa mkuu kama ni kweli ni mjamzito basi Mungu amfanyie wepesi.
 
Hongera sana kwa Jide,
Umri wowote Mungu akiruhusu mtu anazaa tu, hasa kwake ambaye ameishi maisha mengi bila mtoto.
Kweli kabisa mkuu, kuna vitu viko nje ya uwezo wa kibinadam, amehangaika sana kutafuta mtoto kama kweli ni mjamzito basi ni jambo la kumshukuru Mungu.
 
Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Isije ikawa ni chibisi
 
Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Chips zege plus vifanga wakubwa
 
Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Wala sio wote wanatumia hizo dawa
Nina mifano kabisa hamjawahi ht tumia ila tu Mungu ana sbb zake wakati mwingine au mtu mwenyewe km hajapata mtu wa maana wa kuzaa nae haoni umhim
 
Jide ni kati ya Wanawake wa Kitanzania wachache sana Wenye akili na Maarifa ya kijasiliamali.
 
Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Kama ni kweli pongezi kwake, Mungu kamfuta matusi na machozi yake.
 
Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Wewe tulia Mungu anamipango yake kama hujui, unazani kila anayechelewa kupata kitu kafanya makosa? Mungu anamipango hata wewe uliyewahi Mungu anaweza fanya lolote, muulize Hannah mama yake nabii Samuel alikula dawa gani ! Usihukumu utakuja hukumiwa mpaka ushangae.
 
Back
Top Bottom