Za chinichini Kuna wapekuzi humu ndaniMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Mbona mleta mada kaeleza vizuri kuwa alikuwa anatafuta mtoto miaka mingi! Mtoto ni majaaliwa mkuu kama ni kweli ni mjamzito basi Mungu amfanyie wepesi.Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Kweli kabisa mkuu, kuna vitu viko nje ya uwezo wa kibinadam, amehangaika sana kutafuta mtoto kama kweli ni mjamzito basi ni jambo la kumshukuru Mungu.Hongera sana kwa Jide,
Umri wowote Mungu akiruhusu mtu anazaa tu, hasa kwake ambaye ameishi maisha mengi bila mtoto.
Isije ikawa ni chibisiMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Chips zege plus vifanga wakubwaMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Socil media bullyingMna shida gani na single mothers nyie? huu unaanza kuwa kama unyanyasaji sasa
Wala sio wote wanatumia hizo dawaWanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Kama ni kweli pongezi kwake, Mungu kamfuta matusi na machozi yake.Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Wewe tulia Mungu anamipango yake kama hujui, unazani kila anayechelewa kupata kitu kafanya makosa? Mungu anamipango hata wewe uliyewahi Mungu anaweza fanya lolote, muulize Hannah mama yake nabii Samuel alikula dawa gani ! Usihukumu utakuja hukumiwa mpaka ushangae.Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
55 !!! 🤣Lady j d hakuwahi kumezà hayo p2, GGH alikaa nae 15 yrs hadi wakaachana hakupàta mimba, sasa technology imekuwa àmeweza kupàta mimba akiwa 55. Tumwombee apate mjukuu salama.
Atajifungua tu sababu bado ana miaka 22.bado wema sepetu