Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetazama michuano ya mapinduz cup, quality za mechi mbovu. Nafikiri wakiwa Mkapa Stadium na sehem zingine quality inakuwa bora hasa kwa Mkapa.Haya ma azam tv na ule utangazaji wao wa kiswahili ni upuuzi mtupu
Sasa Kwanini wasioneshe vifurushi vya bei ya juu waoneshe hiko cha 10000 tu jamani???🤔🤔Hawaoneshi
Kwani ni wamekosa? Au changamoto yao niniNa jamaa wakipata leseni ya kuonesha ligi ya Tanzania, Azam anafunga king'amuzi chake.
USITUHARIBIE SIKU.TBC nao watarusha mechi zote
Miaka ya nyuma nafikiri waliomba ila wakanyimwa, baadae kidogo Azam akafungua biashara, juzi tu hapo Azam amepewa leseni rasmi ya kurusha mechi za ligi ya Tanzania.Kwani ni wamekosa? Au changamoto yao nini
Ile TBC yenu ya ukungu? 😂😂TBC nao watarusha mechi zote
Watatumia namba zipi kuonesha AFCON?Nimesoma...
Na hii sio breaking news, kilichobadilika hqpo ni nambari tu za channel watazotumia kurusha hiyo AFCON...
TabularasaNimesoma...
Na hii sio breaking news, kilichobadilika hqpo ni nambari tu za channel watazotumia kurusha hiyo AFCON...
🤣🤣🤣😂wanaonyeshaSasa Kwanini wasioneshe vifurushi vya bei ya juu waoneshe hiko cha 10000 tu jamani???🤔🤔
Asavali🤣🤣🤣😂wanaonyesha
Hii hii 🤣🤣Ile TBC yenu ya ukungu? 😂😂
Ni kweli, Azam kingine kinachowaangusha ni Camera zao. Mpira unaonekana kabisa kuwa unafuatiliwa na Camera. DStv utadhani upo uwanjani.Na jamaa wakipata leseni ya kuonesha ligi ya Tanzania, Azam anafunga king'amuzi chake.
Wataangalia watu wa NamanyereTBC nao watarusha mechi zote
Labda kama wataonesha Chereko Chereko!Ile TBC yenu ya ukungu? 😂😂