Hatimae Elon Musk kamwaga maji (Jamii ya mijusi)

Hatimae Elon Musk kamwaga maji (Jamii ya mijusi)

Wanachofanya watu mijusi ni kuhamisha au ni daraja la kuhamisha mawazo mapya ya ubunifu wa kisayansi, technology, uchumi,siasa kutoka outer world au ulimwengu usioonekana na kuzitransform in real World kwa njia ya idea njozi ndoto nk.
Chochote ukionacho kipya Duniani kilikuwepo zamani ktk outer world ambao ni more advanced kuliko huu really World kwa miaka elf 3 mbele yetu
 
Wanachofanya watu mijusi ni kuhamisha au ni daraja la kuhamisha mawazo mapya ya ubunifu wa kisayansi, technology, uchumi,siasa kutoka outer world au ulimwengu usioonekana na kuzitransform in real World kwa njia ya idea njozi ndoto nk.
Chochote ukionacho kipya Duniani kilikuwepo zamani ktk outer world ambao ni more advanced kuliko huu really World kwa miaka elf 3 mbele yetu
Kwa hio wewe ni mtu nani ?

404: Page Not Found
 
Sijaelewa nimepotea njia aise
Wachopaswa kujua ni kwamba wew ni binadamu asilia ya Mwenyezi MUNGU, lakini unaishi na binadamu ambao ni cursed bloodline iliyopo leo duniani bila kufuata utaratibu wa MUNGU.

Hawa ndio wanakutawala wew na mie katika mfumo wetu wote wa maisha kwanzia elimu,dini,kijamii na kiuchumi. Hivyo wachopaswa kujua ni kwamba huu mfumo wetu wote wa maisha tunayoishi binadamu hapa duniani ni mfumo feki ambao hatukupangiwa kuishi na MUNGU.
 
Hata huyo Elon musk mbona nae ni jamii ya mijusi Kama alivyo George Bush,obama,bil gates,Hittler, Queen Elizabeth nk.
Mijusi ni watu ambao wapo level ya juu yaani illuminated Hawa Huwa na uwezo wa kubadilika sura.
Sasa na mimi mbona ni mjusi lakini nimepauka hadi Mbupu au mi nitakuwa lile limjusi lenye bichwa kuuubwa la kwenye mawe
 

Reptilian conspiracy theory​


Article Talk

"Reptiloid" redirects here. For the film, see Reptiloid (film).
Reptilians (also called reptoids,[1] archons,[2] reptiloids, saurians, draconians,[3][4][5] or lizard people[6]) are supposed reptilian humanoids, which play a prominent role in fantasy, science fiction, ufology, and conspiracy theories.[7][8] The idea of reptilians was popularised by David Icke, a conspiracy theorist who claims shapeshifting reptilian aliens control Earth by taking on human form and gaining political power to manipulate human societies. Icke has stated on multiple occasions that many world leaders are, or are possessed by, so-called reptilians.
Kuna movie moja ilikuwa inaitwa V, tulikuwa tunaangalia miaka ya 2000 ilikiwa inazungumzia jamii ya watu ambao ni mijusi. Ila sijui kama kizazi iki wanakumbuka maana wengi wao enzi hizo kwao akuna tv, ilikuwa DTV na CNN nadhani.
 
Wachopaswa kujua ni kwamba wew ni binadamu asilia ya Mwenyezi MUNGU, lakini unaishi na binadamu ambao ni cursed bloodline iliyopo leo duniani bila kufuata utaratibu wa MUNGU.

Hawa ndio wanakutawala wew na mie katika mfumo wetu wote wa maisha kwanzia elimu,dini,kijamii na kiuchumi. Hivyo wachopaswa kujua ni kwamba huu mfumo wetu wote wa maisha tunayoishi binadamu hapa duniani ni mfumo feki ambao hatukupangiwa kuishi na MUNGU.

Asa Mungu kwa nini ha retaliate nao?
 
Hapa iyo app ya JF unayo tumia sasa from the begening Ili kuwa kama conspirancy stay tunne 6G itakushangaza 5G imekuja na AI ambayo miaka ya nyuma ilikuwa conspirancy theory

App ya jf ilikuwa conspiracy? Bullshit
I was there wkt wanaanza from scratch.
Labda kama ww ndio ulikuwa hujui but it was not conspiracy
Oh mijusi mijusi pathetic, hizo conspiracy tu
 
App ya jf ilikuwa conspiracy? Bullshit
I was there wkt wanaanza from scratch.
Labda kama ww ndio ulikuwa hujui but it was not conspiracy
Oh mijusi mijusi pathetic, hizo conspiracy tu
😂😂😂 kumbe hata hujui maana maskini ukakomaa na App ya JF
 
Habari za muda poleni watanganyika wenzangu Mungu atutie nguvu na atuepushe na yule mwovu.
utangulizi

Hivi karibuni Moja ya watu mashuhuri duniani na wenye fedha kutokana na ubunigu wao hasa hasa kwenye nyezo ya teknologia ya habari,
Mtandano wa twitter unao milikiwa na Elon Musk hatimae umapeta mpinzani kwa jina la threads unai milikiwa na Mark zuckerberg, lakin inaonekana kuzua tafurani kidogo baina ya watu wawili.

jamii ya mijusi yani reptiles.
kumekuea na conspirancy theories ambazo zinahusisha kuwako wa viumbe jamii ya mijusi walio valia sura za binadamu lakin SILIKA yao ni mijusi, Baadhi ya watu mashuhuri kama Mark Zuckerberg Malkia Elizabeth na wengineyo.
Baada ya elon hupata mpinzani zuckerberg mzinduzi wa mtandao wa threads Elom Musk amepost kitu kwenye mtandao wake wa twitter ambacho kimezua maswali na kurudisha uhai wa yanayo semwa kuhusu jamii za mijusi, kwamba akimuita mark zuckerberg Lizard boy wakati zucker anahusiswa sana kuwa sio binadam bali ni elite kutoka society za mijusi inonekama kama ka utani lakin sivyo.
Dunia inamengi
Kuna mahali kwenye Biblia Takatifu jambo kama hili la mjusi limetajwa kidogo huwaga nausoma ule mstari halafu Natafakari...

Mithali 30:28
 
Sasa na mimi mbona ni mjusi lakini nimepauka hadi Mbupu au mi nitakuwa lile limjusi lenye bichwa kuuubwa la kwenye mawe
mjusi wa mchongo😂😂 bloodline yao haiwapotei
 
Hapo haikumaanishwa hicho mnachokiwaza.
hapo ni kweli maana tafsi yenyewe iliwashinda elites societies stories kwenye bible hamna au ni vya kudogoa tena kwa vipande, kitabu cha enock chenyewe tu walikiogopa wakina martine wakakitoa.

kuna PDF moja ya mjusi lozerta inasemekana alihojiwa akaachia mambo mazito sana
 
Back
Top Bottom