Hatimae Elon Musk kamwaga maji (Jamii ya mijusi)

8
Wanasema moja ya tabia za hawa watu ambao ni Reptilians au Lizards peoples ni:-

They like space!Wanapenda kwenda sayari za juu sana
Wana low blood pressure
Ni evil peoples..wanapenda uovu sana
Hawana hofu ya Mungu

Nahisi hili swala ukweli mkubwa kwasababu Mungu anasema acheni magugu yakue na ngano
Pia kwa mujibu wa biblia kuna watu wameandikiwa moto hata kabla ya misingi ya dunia..why?
 
HUYU NDO MARK ZUCKERBERG MWENYEWE AKIWA CHUMBANI KWAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…