Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Wanawachanganya wapenzi wa nyimbo zao!!Hata mimi wananichanganya!!!
Unawezaje kuimba kwa shangwe msisitizo na kujiamini huku ukishindwa kuishi hata nukta ya maneno/nyimbo zako...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawachanganya wapenzi wa nyimbo zao!!Hata mimi wananichanganya!!!
Ni shabiki mnzuri wa Serengeti BoysNaona kama dada ni shabiki wa ile timu inayowakilisha tz huko gabon
Wenyewe wanasema fata maneno yangu usifate matendo yangu!!!!Wanawachanganya wapenzi wa nyimbo zao!!
Unawezaje kuimba kwa shangwe msisitizo na kujiamini huku ukishindwa kuishi hata nukta ya maneno/nyimbo zako...?
Kinyaa cha nini sasa,mtoto wa kiume una maneno yasio na staha,fanya yako mtoto kike ah sorry mtoto wa kiumeHuyu mtot wa kiume hana kinyaa!
.Hatimae aliekuwa mke wa Emanuel Mbasha leo amefunga ndoa na Daudi Kusweka na sasa anatambulika kama Flora Kusweka
View attachment 503172
Nawe ni yale yale inaelekea umeoa "kayamba"!Kinyaa cha nini sasa,mtoto wa kiume una maneno yasio na staha,fanya yako mtoto kike ah sorry mtoto wa kiume
Haina makomboHuyu mtot wa kiume hana kinyaa!
Huyu ni mtoto mdogo compared to the lady, lazima aone kinyaa!Haina makombo
.Umesema vyema Nsibhwene ila kuna kitu wengi mnashindwa kutofautisha, kati ya neno kweli na ukweli....kweli ndiye Yesu Kristo, na neno kweli katika Biblia ni tofauti kbs na neno ukweli/kweli ambayo inatumika sana ktk maongezi ya kawaida!
'Kweli itakuweka huru, ikiwa na tafsiri ya Yesu Kristo atakuweka huru'
Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.
Dah inamaana huyu dogo kaenda kujitwika single mother!!
Hapo mwisho jibu utakalopata litakufamya uelewe kwanini kijana ameoaBahati ni pale features za couple zinaendana na mila na tamaduni. Bwana harusi hapo ni mdogo sana kwa Bi harusi, na mbele ya safari (Mwenge-Posta) kama baada ya vituo viwili hivi kutoka Mwenge atataka kupanda Vitz (lazima atarudi kwenye senses zake na ataona size yake) na si Coaster tena.
Halafu huyo Bwana harusi anajishughulisha na nini?
kibumbu=ekebhombo? = papuchi? nimecheka sana[emoji12]Wacha aendelee kugawa kibumbu uwezi jua kesho labda ni zamu yako!
Hatimae aliekuwa mke wa Emanuel Mbasha leo amefunga ndoa na Daudi Kusweka na sasa anatambulika kama Flora Kusweka
View attachment 503172
Hapo mwisho jibu utakalopata litakufamya uelewe kwanini kijana ameoa