popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,615
Naomba Mnaojua misingi ya Ndoa hasa za Kikristo mnijibu yafuatayo,
Hivi kila Ndoa inayofungwa kanisani na kunukuu viapo Kwa kuvitamka Kwa mdomo huwa kweli zote ni halali na anakuwa kaunganisha MUNGU?
hivi mtu tapeli anaelenga maslahi Wakati maslahi si msingi wa Ndoa nae kukarili viapo na Kutamka anakuwa kaunganishwa na mwenzake Mwenye nia ya dhati na inapaswa Aina hii tuseme kaunganisha MUNGU?,
Iwapo mwanandoa mmoja hakuwa na Nia toka awali ya kuishi milele ktk Ndoa Lkn akakarili kitapeli viapo na kukubali kiuongo ili tu atimize malengo na hii tutasema kaunganisha MUNGU,
Km ni Mpaka kifo kitenganishe Kwa nini mnanukuu kifungu cha uzinzi kinachohalarisha talaka?inamaana uzinzi ndo kifo,
Inakuaje Kwa akina dada na kaka wanaofunga Ndoa Kwa kufuata Mali, na hawa wanapaswa kuhesabiwa km wanandoa ambao Mungu kaunganisha au Mali na tamaa zao zimeunganisha?
Kwa hayo maswali Yangu yanayo akisi kinachofanyika ktk ufungaji wa Ndoa je mnauhakika gani kuwa kila inayoitwa Ndoa huwa kweli imeunganishwa na MUNGU?
Je ni sahihi Ndoa ambayo ilikuwa na utapeli wa misingi na lengo la Ndoa ikivunjika tunapaswa Kusema alichounganisha MUNGU?
Mnajuaje Sasa km ni Ndoa ipi mmoja alimtapeli mwenzake ili iwape usahihi wa kutumia fungu la alichounganisha MUNGU binadamu asitenganishe maana Siri ya dhamira ya MTU kufunga Ndoa anayo muhusika?
Mnaonaje tukisema MUNGU ndo anajua uhalali wa kila Ndoa maana zipo zinazofungwa kibatili Toka mwanzo?
Na hii ya Mbasha mnauhakika gani kuwa ilikuwa si batili since day one au ilikuwa batili since day one?
Nikimdanganya MTU kuwa nipo tayari kuishi nae milele Kwa shida na raha Wakati najua Moyoni sipo tayari na sintadumu nae nimelenga kitu je Ndoa hii nayo imeunganishwa na Mungu?
Mambo ni mengi Sana
Hivi kila Ndoa inayofungwa kanisani na kunukuu viapo Kwa kuvitamka Kwa mdomo huwa kweli zote ni halali na anakuwa kaunganisha MUNGU?
hivi mtu tapeli anaelenga maslahi Wakati maslahi si msingi wa Ndoa nae kukarili viapo na Kutamka anakuwa kaunganishwa na mwenzake Mwenye nia ya dhati na inapaswa Aina hii tuseme kaunganisha MUNGU?,
Iwapo mwanandoa mmoja hakuwa na Nia toka awali ya kuishi milele ktk Ndoa Lkn akakarili kitapeli viapo na kukubali kiuongo ili tu atimize malengo na hii tutasema kaunganisha MUNGU,
Km ni Mpaka kifo kitenganishe Kwa nini mnanukuu kifungu cha uzinzi kinachohalarisha talaka?inamaana uzinzi ndo kifo,
Inakuaje Kwa akina dada na kaka wanaofunga Ndoa Kwa kufuata Mali, na hawa wanapaswa kuhesabiwa km wanandoa ambao Mungu kaunganisha au Mali na tamaa zao zimeunganisha?
Kwa hayo maswali Yangu yanayo akisi kinachofanyika ktk ufungaji wa Ndoa je mnauhakika gani kuwa kila inayoitwa Ndoa huwa kweli imeunganishwa na MUNGU?
Je ni sahihi Ndoa ambayo ilikuwa na utapeli wa misingi na lengo la Ndoa ikivunjika tunapaswa Kusema alichounganisha MUNGU?
Mnajuaje Sasa km ni Ndoa ipi mmoja alimtapeli mwenzake ili iwape usahihi wa kutumia fungu la alichounganisha MUNGU binadamu asitenganishe maana Siri ya dhamira ya MTU kufunga Ndoa anayo muhusika?
Mnaonaje tukisema MUNGU ndo anajua uhalali wa kila Ndoa maana zipo zinazofungwa kibatili Toka mwanzo?
Na hii ya Mbasha mnauhakika gani kuwa ilikuwa si batili since day one au ilikuwa batili since day one?
Nikimdanganya MTU kuwa nipo tayari kuishi nae milele Kwa shida na raha Wakati najua Moyoni sipo tayari na sintadumu nae nimelenga kitu je Ndoa hii nayo imeunganishwa na Mungu?
Mambo ni mengi Sana