Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

hahahha kwa age aliyo nayo na status yake kuacha vilio ni jambo la kawaida;ila vilio vitaongezeka akiamua kutii kiapo kwa Elianor....

Si unaona mdau Hapo juu.mi nimekuta wadada wanataka kuandamana ikabidi watulizwe.mwee sijui hawajui alichokiunganisha mungu mwanadamu hawezi tena kutenganisha.majanga kweli kitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…