Hahahaha yaani mjini watu wanajua kujilipuaga! Yaani twisa na le mutuz, hata ndoa ya kuact ukifumba macho naogopa
Usinuambie Calvin celebrity siku hizi Makubwa.Mshikaji wangu wazamani huyoo enzi za mzizima.Hahahaha dah ,amezaa na shoga angu Lola .Nimecheka Leo