Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

maskini elina,alikuwa mpole anajitunza enzi zile za kibosho alikuwa serious na masomo leo unaangukia kwa huyu bazazi mnh good luck mwaya....

huyu ni yule elionora maruma alikuwa kibosho then majengo pcm ....bcom udsm...?
 
Smile, hebu tudadavulie, ni nani huyu kelvin

Kila kitu kina mwisho wake. Machangu wangapi wameolewa na wametulia.wengi walipitia hukohuko.
 
Last edited by a moderator:
Shes is such a cool lady...nilifanya nae kazi pale Airtel miaka ya 2009 ivi daah!!she deserves to be a waife of somebody.....wakuacheeeee mtoto w akichagaa

yeah toto la kimarangu hilo matawi long time ni mkimya ila mishe zake ...ni balaa
 
Mnaosema wife ajiandae kulia,hamjui km bad boys huwa wanatuliaga??kwn kwny ndoa si wapo watu wengi tuu,muwacheni alalee...kumuopoa twisa mjini hapa kwan masihara...?na u'player wote ule..watvr happens she z the legal wife,wengne 2nd choiceee haha
Wshng them a happy life ahead..
 
Back
Top Bottom