Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

kelvin umejifunza sasa unamalaya una mwisho nao ni majuto you wish your CV was good hey??????manake kutia watu mimba sio ushababi.yupo mmoja naje ni elina dont break her heart.
elina sijui umempendea nini kaka wa watu siri unaijua wewe,cha muhimu funga mkanda hata huku kamii foruma tunaambiwa hamna mwanamke mwenye mwaname mmoja kushare muhimu
 
maskini elina,alikuwa mpole anajitunza enzi zile za kibosho alikuwa serious na masomo leo unaangukia kwa huyu bazazi mnh good luck mwaya....

Mi mwenyewe nlikuwa namfaham vizuri ila alikuwa na pozi flan sio kama dadake though dadake ni mkali zaidi yake. Nakumbuka akiwa form 1 dadake alokuwa form 3.
 
ntoe tongo tongo shost nmekuja mjini na mafuriko...huyu naye ni nani mjini hapa?

Bosi mmoja Vodacom sijui kama bado yupo kwani tokea nije mtwara kwenye gesi info zinanipita mambo safi toka zamani mboga saba kasoma majuu na kupiga mzigo majuu kaja bongo na kuanza kufanya kazi kwenye makampuni ya simu

Pia kagawa sana dudu lake kwa wanawake wa mjini maarufu na wasio maarufu pia

Baadhi ya maarufu ni mama mwenye blog ambayo jina lake ni kama vile unaendesha gari halafu ukakata kule ulikorudi ghafla (NGEMA), mrs sembe, millean magese, cynthia, mke wa babu wengine wataongezewa na wadau
 
Bosi mmoja Vodacom sijui kama bado yupo kwani tokea nije mtwara kwenye gesi info zinanipita mambo safi toka zamani mboga saba kasoma majuu na kupiga mzigo majuu kaja bongo na kuanza kufanya kazi kwenye makampuni ya simu

Pia kagawa sana dudu lake kwa wanawake wa mjini maarufu na wasio maarufu pia

Baadhi ya maarufu ni mama mwenye blog ambayo jina lake ni kama vile unaendesha gari halafu ukakata kule ulikorudi ghafla (NGEMA), mrs sembe, millean magese, cynthia, mke wa babu wengine wataongezewa na wadau

Bado yuko Vodacom hajatoka ila keshafanya Airtel enzi hizo Zain na Tigo Pia

Vimwana katoka nao wengi mie mwenyewe nna best yangu alitoka na jamaa pia ana list ya maana
tu
 
Bosi mmoja Vodacom sijui kama bado yupo kwani tokea nije mtwara kwenye gesi info zinanipita mambo safi toka zamani mboga saba kasoma majuu na kupiga mzigo majuu kaja bongo na kuanza kufanya kazi kwenye makampuni ya simu

Pia kagawa sana dudu lake kwa wanawake wa mjini maarufu na wasio maarufu pia

Baadhi ya maarufu ni mama mwenye blog ambayo jina lake ni kama vile unaendesha gari halafu ukakata kule ulikorudi ghafla (NGEMA), mrs sembe, millean magese, cynthia, mke wa babu wengine wataongezewa na wadau[/QUOTE
eti mrs sembe,hahaha wapi mke wa babu...apana chezea Twisaz..yu have a warm list!!

sie wa kona baa tasteless tujinyonge tu!!
 
Chineeeeekeee...na ujanja wote kumbe design yake ilikuwa vibibi....

If that is the case sioni kama dada ana mpinzani maana yeye bado mbichi

Nawatakia maisha marefu ya ndoa....

Na wanaoendelea kummezea mate washindwe na walegeeeee.....



Bosi mmoja Vodacom sijui kama bado yupo kwani tokea nije mtwara kwenye gesi info zinanipita mambo safi toka zamani mboga saba kasoma majuu na kupiga mzigo majuu kaja bongo na kuanza kufanya kazi kwenye makampuni ya simu

Pia kagawa sana dudu lake kwa wanawake wa mjini maarufu na wasio maarufu pia

Baadhi ya maarufu ni mama mwenye blog ambayo jina lake ni kama vile unaendesha gari halafu ukakata kule ulikorudi ghafla (NGEMA), mrs sembe, millean magese, cynthia, mke wa babu wengine wataongezewa na wadau
 
Kamuoa dada mpole sana nilifanya naye stanbic bank. Ila chozi la mwanamke halipotei bure, hivyo vilio alivyoacha vitamkost sanaaaaaaa, namhurumia Huyo dada.
 
Back
Top Bottom