Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani Mbona mnamshambulia rafiki yangu ameokoka.wote waokovu sasa Hivi.Wamempa yesu maisha yaoBado yuko Vodacom hajatoka ila keshafanya Airtel enzi hizo Zain na Tigo Pia
Vimwana katoka nao wengi mie mwenyewe nna best yangu alitoka na jamaa pia ana list ya maana
tu
Kelvin mtu wa mungu sasa .Anahudumia kanisa na mkeweNasikia kaacha kilio kila kona mujini watu wanna Pete zake za uchumba na watoto
Kelvin mtu wa mungu sasa .Anahudumia kanisa na mkewe
Jamani Mbona mnamshambulia rafiki yangu ameokoka.wote waokovu sasa Hivi.Wamempa yesu maisha yao
Kelvin mtu wa mungu sasa .Anahudumia kanisa na mkewe
Kamuoa dada mpole sana nilifanya naye stanbic bank. Ila chozi la mwanamke halipotei bure, hivyo vilio alivyoacha vitamkost sanaaaaaaa, namhurumia Huyo dada.
Baadhi ya maarufu ni mama mwenye blog ambayo jina lake ni kama vile unaendesha gari halafu ukakata kule ulikorudi ghafla (NGEMA), mrs sembe, millean magese, cynthia, mke wa babu wengine wataongezewa na wadau
Ukiacha Happy (Millen) Magese ambaye sina historia yake, hao wengine mbona walikuwa ni vicheche wasaka noti wa mjini tu. Unless kama kuna orodha nyingine nje ya hiyo. Mabrazamen wengi wenye pesa na majina mjini wanashobokewa sana.
madem waliogongwa na kutoswa na twisa naona wanatoka povu huku.jamani papuchi zenu hazina utamu ndo maana hamjaolewa
kama kabadilika Hongera zake ila ajue ame wahurt wadada wengi sana tu and my friend is among of them
Walikuwa wakimuona kelvin wanamuona ATM .Eleanor anamuona Kelvin Binadamu anaehitaji kupendwa na kuthaminiwa sio kutumiwa kipesa .Hamtamuona ng'oooooooo mtaani amepata MWANAMKE anaemthamini sio kumchunaUkiacha Happy (Millen) Magese ambaye sina historia yake, hao wengine mbona walikuwa ni vicheche wasaka noti wa mjini tu. Unless kama kuna orodha nyingine nje ya hiyo. Mabrazamen wengi wenye pesa na majina mjini wanashobokewa sana.
Hii ni ndoa ya kwanza ya kelvin .Hajawahi kuoa sasa nyinyi mnaopiga makelele kwani mliolewa nae .Dating process ndio ilivyo you choose the best .Nyie Wenyewe mmeona chaguo lake MWANAMKE mwenye elimu,katulia,anaheshima,sio mashauzi na majungu mavitenge mtaani ,good family ( morals values ) .Kelvin is from good family too hawezi toka na watu wa magomeni mapipa vingunguti huko msiojua hata ustaarabu ndio maana hajawaoa .Ndio mjue mwamaume mwenye pesa zake na Akili ( kelvin is very intelligent ) .Hawezi oa watoto wa kupenda midundiko,shanga na vi cream fake .Cheki Eleanor alivyo natural banaa ame focus ,yupo exposed angalau kelvin akimwambia tunawageni Leo anaweza entertain sio Nyie matusi na hata kuweka meza kwa mlo hamuwezi mnaleta bakuli la maji badala ya uma na kisu .MTULIE WANAUME WAKIOA WANATUMIA AKILI .We wish kelvin all the best .Akicheat sasa akiwa Kwenye ndoa that will be a problem .Wanaume hawaoi na hawapendi WANAWAKE wenye mashauzi na tamaa za ajabuajabu it's a big turn off .Leo unakutana na Kelvin anakutaka unaanza kutaka kuhudumiwa list ya vitu .Eleanor very independent woman hamwitaji kelvin kwa pesa mnalo Hilo
Mwambie akae aitulize dudu yake sasa maana ingekuwa sabuni ingeshaisha siku nyingi sana.
so sorry i didnt waste my time reading what you have wrote!!!!!!
Shortly kamtetea kelvin na kuponda wanawake wenzie
...ila ajue ht uswazi wanawake wastarabu wapo na si kwamba wako masaki pekee....
Shortly kamtetea kelvin na kuponda wanawake wenzie
...ila ajue ht uswazi wanawake wastarabu wapo na si kwamba wako masaki pekee....