Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Kumbe Kelvin naye alisoma SRSS.

Mi nilisoma O-level pale lakini prolly 8-10 years before him.
 
Hii ni ndoa ya kwanza ya kelvin .Hajawahi kuoa sasa nyinyi mnaopiga makelele kwani mliolewa nae .Dating process ndio ilivyo you choose the best .Nyie Wenyewe mmeona chaguo lake MWANAMKE mwenye elimu,katulia,anaheshima,sio mashauzi na majungu mavitenge mtaani ,good family ( morals values ) .Kelvin is from good family too hawezi toka na watu wa magomeni mapipa vingunguti huko msiojua hata ustaarabu ndio maana hajawaoa .Ndio mjue mwamaume mwenye pesa zake na Akili ( kelvin is very intelligent ) .Hawezi oa watoto wa kupenda midundiko,shanga na vi cream fake .Cheki Eleanor alivyo natural banaa ame focus ,yupo exposed angalau kelvin akimwambia tunawageni Leo anaweza entertain sio Nyie matusi na hata kuweka meza kwa mlo hamuwezi mnaleta bakuli la maji badala ya uma na kisu .MTULIE WANAUME WAKIOA WANATUMIA AKILI .We wish kelvin all the best .Akicheat sasa akiwa Kwenye ndoa that will be a problem .Wanaume hawaoi na hawapendi WANAWAKE wenye mashauzi na tamaa za ajabuajabu it's a big turn off .Leo unakutana na Kelvin anakutaka unaanza kutaka kuhudumiwa list ya vitu .Eleanor very independent woman hamwitaji kelvin kwa pesa mnalo Hilo
I love this Natalia. Wanawake tukiendekeza njaa na kutojiheshimu matokeo yake ni vilio.
 
Alifariki kwa ajali ya gari Tanga (walikuwa wawili kwa gari) akitokea Arusha/Moshi alikuwa na rafiki yake pia mtoto wa Luhanga yeye alifariki baadae hospitali. Alifariki 01/08/2007. alizaliwa mwaka 1978.

Mungu awalaze pema peponi.

oh so sad,may she RIP,nlidhani juzi tu na harusi hii
 
Usinuambie Calvin celebrity siku hizi Makubwa.Mshikaji wangu wazamani huyoo enzi za mzizima.Hahahaha dah ,amezaa na shoga angu Lola .Nimecheka Leo
Natalia ,

Si ndo hapo, Kelvin celeb, inaonesha hatupo mjini siku nyingi mpaka hili linatushangaza.

Huyo Lola yupi? Not Lola O now?

Hiyo picha jamaa kama yuko totally immersed in connecting with the bride, forget the photographer.
 
Kamuoa dada mpole sana nilifanya naye stanbic bank. Ila chozi la mwanamke halipotei bure, hivyo vilio alivyoacha vitamkost sanaaaaaaa, namhurumia Huyo dada.

Well said
Kuna dada tumepanga nyumba 1,ananiambia twisa kazaa na shost ake pia 2kids
 
nimepiga naye kitabu huyu majengo pcm ,nakumbuka mwalimu wa chemistry mosha alitania darasi nyie wanaume ,mnaosoma science na kina elionora huyu sio saizi yenu ...mtafeli bure....!
 
Nlikuwa natafuta habari za nguli wangu bro.twissa nikafikia jf.duh jf kiboko kwa sasa ukitafuta habari za tanzania lazima uangukie jf.

big up jf
 
2.bp.blogspot.com/-EDyMY02jmY8/UttNXHs1HtI/AAAAAAAATFs/z9_g5W_8sM4/s1600/kelvin+twisa.png
 
Back
Top Bottom