Nimefanya field mabenki yote makubwa, hapo ndo nilijua kuwa teller teller kweli[emoji1787][emoji1787][emoji23]Teller wa bank gani apokee mkwanja wa dizain hiyo?
Mateller njaa Kali tu ,sema wanajikutaga nan sijui wakivaa uniform za bank kumbe tunawajua nje ndan had salary wanazoramba .
Unalala kwenye mkeka?[emoji1787][emoji1787][emoji23]Nipo huku karibu kimwana
Vip kwa teller aliekaa kazini kwa muda wa miaka kumi, bado anapokea hiyo hiyo?Nimefanya field mabenki yote makubwa, hapo ndo nilijua kuwa teller teller kweli[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Kwa huyo sijui niwe mkweli,Vip kwa teller aliekaa kazini kwa muda wa miaka kumi, bado anapokea hiyo hiyo?
Haaaaa, Hapana mimi nina mbabuzii wote mini na yeye tushastaafuKwa huyo sijui niwe mkweli,
Una mbebez teller?
Karibu basi mimi msela mhuni fulani wa kisasa choka mbaya mm hiyo figure tu avatar umenimaliza ππMi nataka choka mbaya, tuanzie kulala kwenye mkeka[emoji23][emoji23][emoji23]
10 years later hahaaa Nimecheka sana ..Smile hakuna mwanaume asiecheat labda kileo wa joyce kiria:A S 13:
10 years later hahaaa Nimecheka sana ..
Weeee hebu lete habari kamili, Nifah unazo hizi?Ndoa imeshakufa masikini. Sijui kwa nini ndoa hazidumu!!