witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Ndo akina nani hawa best, siwajui kabisa[emoji848]Wako wanatiana fresh tu.
Insta huyo Kelvin anajiita nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo akina nani hawa best, siwajui kabisa[emoji848]Wako wanatiana fresh tu.
KyomaAcha hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio wewe kweli huyo aliekuwa hurt.[emoji23]
Mateller? Nimekushusha grade[emoji23][emoji23]Mi nakula wadada wa bank wale
Duh aise hyo profile yko unatafuta ugomvi😂😂😂We Kelvin tulia[emoji23]
Unataka kunitwisaDuh aise hyo profile yko unatafuta ugomvi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Mi nataka choka mbaya, tuanzie kulala kwenye mkeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Watakupa mapesa😋Mi nakula wadada wa bank wale
Tela anapokea one na point shost, sio habaMateller? Nimekushusha grade[emoji23][emoji23]
Teller na bartender hamna tofauti, full njaa
Hehehe [emoji1787]Tela anapokea one na point shost, sio haba
Mi nataka choka mbaya, tuanzie kulala kwenye mkeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Teller wa bank gani apokee mkwanja wa dizain hiyo?Tela anapokea one na point shost, sio haba
MI nna shost yangu alianza na mshahara wa laki saba mwaka 2013,sahivi anapokea million na laki ngap sijui, aliniambia hivyoHehehe [emoji1787]
Laki 6 net
Teller wa bank gani apokee mkwanja wa dizain hiyo?
Mateller njaa Kali tu ,sema wanajikutaga nan sijui wakivaa uniform za bank kumbe tunawajua nje ndan had salary wanazoramba .
Ina mana alinidanganyaMI nna shost yangu alianza na mshahara wa laki saba mwaka 2013,sahivi anapokea million na laki ngap sijui, aliniambia hivyo
Ulitarajia atakwambia ukweli?MI nna shost yangu alianza na mshahara wa laki saba mwaka 2013,sahivi anapokea million na laki ngap sijui, aliniambia hivyo
Haaaaa, haya best sijui kwanini kanidanganyaUlitarajia atakwambia ukweli?
Ungeona salary slip yake ndo ungeamini sio storee za mdomoni
Narudia teller take home ni 450k-600k
Tumia ruler kupigia mstariIna mana alinidanganya