mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,854
Hatimaye kiongozi wa malaika huko mbinguni ame kigeuza kimbunga Jobo kuwa mvua ya mafuriko apo kesho![emoji1787]
Anaweza leta mvua ya kubomoa majengo chukuweni tahadhari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye kiongozi wa malaika huko mbinguni ame kigeuza kimbunga Jobo kuwa mvua ya mafuriko apo kesho![emoji1787]
Huu ndio wakati wa kwenda kuwakamata kama Popo silaha zimetota maji hahaha
Kwahiyo jiwe kafa ,sasa Skeleton inatulindaje mfano?Jiwe anatulinda huko alipo
Kwahiyo jiwe kafa ,sasa Skeleton inatulindaje mfano?
Inakubidi upimwe akilihivyo hivyo
Nyumba zenyewe zipo mabondeniWasiwasi wangu ilikua idadi ya watakaokosa makazi, maana karibu 70% ya Watanzania tunaishi kwenye nyumba za udongo na nyasi.
Mkeka wangu unakaribia Kutiki sasa.Ngoma imerudiView attachment 1762657
Wameahidi wanatekeleza, mitano tenaMingap tena?
Duu!! Nasubiri kiongezeke nguvu . Nina jambo langu sehemu.O
Oyaah mkeka umechanika[emoji1787]
Duu!! Habari njema mkuu...sasa uhakikaNgoma imerudiView attachment 1762657
Jobo kimekua ushuzi tupuThe good news ni kwamba kimbunga JOBO kimeisha nguvu kabisa.Picha ya kwanza ni ya jana Ijumaa saa nne asubuhi kama unavyoona kwenye picha za satellite hapo kimbunga kilikuwa na nguvu sana na picha ya pili ni ya leo Jumamosi saa tisa ya usiku na kama unavyoona kimbunga kilipungua nguvu kidogo.
Picha ya tatu ni ya leo Jumamosi saa nne asubuhi ambapo kimbunga kilipungua nguvu sana.Picha ya nne ni ya leo Jumamosi saa kumi na moja jioni hii ambapo unaweza kuona kuwa kimbunga kimeisha nguvu kabisa.
Katika hizo picha unaweza kuona pia siku na muda.
1
View attachment 1762579
2
![]()
3
View attachment 1762586
4
View attachment 1762591
Dah una roho ngumu haswa.Bishana mpaka ufe.Nguva ya soda kama Simba....
Simba wataangukia pua sooner than later kama Jobo
Inakubidi upimwe akili
Nabishana au nakuchapeni facts za kweli...ww vp!?Dah una roho ngumu haswa.Bishana mpaka ufe.