Hatimae leo nimeanza mazoezi

Hatimae leo nimeanza mazoezi

Mwanangu asikwambie mtu ukila machukuchuku unakuwa mwepesi ile mbaya,yani unateleza kama messi.Alafu nimesahau humohumo kwenye mchemsho unatupia na njugu,karanga,korosho etc.Maji kwa wingi tena usinywe maji ya baridi,ya kawaida ama ya uvuguuvugu.

Alafu kama ni mpenzi wa chai,una replace sukari unatumia asali mbichi.Baads ya mwezi ulete mrejesho maisha yalivyobadilika.
Poa poa mkuu
 
Unajua maana ya diet lakini?.
Mkuu sizungumzi diet kilugha na maana yake.

Nazungumzia diet na yale wanayofanya watu.

Mfano kuna mtu alikuwa anasema anafanya diet kwa kushindia juisi ya kabichi na madudu flani hivi.akapungua kilo vizuri sana kwa hiyo diet yake.lakini sasa akawa hawezi kuishi vile siku zoteeee ili abakie katika umbile lile.sasa ajabu si akarudi kwenye menyubyake ya zamani ambayo ndiyo anaiweza na ndiyo utaratibu wa maisha yake.
Akarudi kula chai chapati asubuhi.

Mchana ugali

Jioni wali.

Saivi kaongezeka tenaa ati asema anataka afanye diet,sasa hyo diet anayoisema na kuimaanisha huyu si anajisumbua tu au?
 
Mwanangu asikwambie mtu ukila machukuchuku unakuwa mwepesi ile mbaya,yani unateleza kama messi.Alafu nimesahau humohumo kwenye mchemsho unatupia na njugu,karanga,korosho etc.Maji kwa wingi tena usinywe maji ya baridi,ya kawaida ama ya uvuguuvugu.

Alafu kama ni mpenzi wa chai,una replace sukari unatumia asali mbichi.Baads ya mwezi ulete mrejesho maisha yalivyobadilika.
Aisee yani kwenye chukuchuku unatia karanga na njugu na korosho au vepe mkuu?
 
Mkuu sizungumzi diet kilugha na maana yake.

Nazungumzia diet na yale wanayofanya watu.

Mfano kuna mtu alikuwa anasema anafanya diet kwa kushindia juisi ya kabichi na madudu flani hivi.akapungua kilo vizuri sana kwa hiyo diet yake.lakini sasa akawa hawezi kuishi vile siku zoteeee ili abakie katika umbile lile.sasa ajabu si akarudi kwenye menyubyake ya zamani ambayo ndiyo anaiweza na ndiyo utaratibu wa maisha yake.
Akarudi kula chai chapati asubuhi.

Mchana ugali

Jioni wali.

Saivi kaongezeka tenaa ati asema anataka afanye diet,sasa hyo diet anayoisema na kuimaanisha huyu si anajisumbua tu au?
mi nazungumzia kujiwekea mfumo mzuri wa kula,unatakiwa ujue kila u achoingiza mwilini na faida na hasara zake.

Kujinyima kula kwangu ni big no nishajaribu nikafeli Ila nilichoweza ni kubadilisha aiana ya vyakula navyokula na vile vyakula vya starehe/ladha kuvizibiti.Mfano badala ya kunywa soda deile ukajitengea siku moja kwa wiki ndio unakunywa,badala ya kula nyama kila siku ukawa unakula mara moja au mbili kwa wiki,badala ya kukarangiza sana masotojo ukawa unakula zaidi michemsho.kujipangia nini unakula siku nzima badala ya kula kila kinachopita mbele yako.Badala ya kuishi ili ule unatakiwa ule ili uishi.Usichanganye chakula lishe na chakula starehe kinachofurahisha tu ulimi na pua yako lakini kikiingia mwilini kinakutesa.u dig?
 
Vegan diet ni aina ya mlo usio na nyama,maziwa ama chochote kinachohusiana na wanyama.Kwahyo unakula mbogamboga,matunda na nafaka tu.

Mfano kuanzia Jumatatu mpaka ijumaa,inakuwa mwendo wa matunda na mbogamboga tu waweza ongezea na ndizi na viazi,kisha jumapili inakuwa cheat day unakula unachotaka.ukifanya hivyo wiki mbili tu unakata weight ya kutosha.Hizo siku sita ama tano hakikisha unakula hata milo minne kwa siku,usikae na njaa ila ule mbogamboga,na matunda,najitahidi usitumie mafuta mengi kwenye kupika ikiwezekana milo hyo iwe chukuchuku.na unywe maji mengi.

Kuna nyengine ya tende na maziwa.Mimi binafsi nilifanya hyo.asubuhi nkawa nakunywa glass moja ya maziwa na vipande sita vya tende,mchana hivyo hivyo ma jioni.nakula na matunda na maji mengi.nilifanya kwa siku kumi.nlikata kilo karibia nne.
Mimi nina kakitambi kana ni nyemelea yani kameniganda mazorzi napiga na kuacha. sasa fomula gani nitumie kukatoa bila kuathiri kilo nilizo nazo.

Kuna kipindi nilifanya extensive diet nikapungua tena ikawa shida.

Ifuatayo ni milo yangu kwa siku naomba ushauri wapi nipunguze:

Asubuhi
1 Viazi mviringo vya kucheemsha
2. mayai ya kukaanga 2 au matatu (spanich egg)
3. soseji 3 ( za kuku ama kitimoto)
4. Kahawa na maziwa vikombe kimoja na nusu
5. fresh juisi glasi moja (sometime inakuwa ya tikiti au nanasi au papai. siku nyngine inakuwa mix
6. vipande viliwi au kimoja cha omellette
7. matunda (ndizi moja, nanasi vipande 4, embe
8. cookie moja.

Mchana
1. Hapa mara nyingi nakula wali na nyama ya ngombe na kuku katika mapishi mabali mabli
2 matunda na juisi fresh.

Usiku
1. nakula wai ama mashed potatoes, nay red meat katika mapishi mablimbali
2. Bia 2 - 4

NB: mboga za majani napata kwa nadra sana maana hazipatikani kila siku.
 
mi nazungumzia kujiwekea mfumo mzuri wa kula,unatakiwa ujue kila u achoingiza mwilini na faida na hasara zake.

Kujinyima kula kwangu ni big no nishajaribu nikafeli Ila nilichoweza ni kubadilisha aiana ya vyakula navyokula na vile vyakula vya starehe/ladha kuvizibiti.Mfano badala ya kunywa soda deile ukajitengea siku moja kwa wiki ndio unakunywa,badala ya kula nyama kila siku ukawa unakula mara moja au mbili kwa wiki,badala ya kukarangiza sana masotojo ukawa unakula zaidi michemsho.kujipangia nini unakula siku nzima badala ya kula kila kinachopita mbele yako.Badala ya kuishi ili ule unatakiwa ule ili uishi.Usichanganye chakula lishe na chakula starehe kinachofurahisha tu ulimi na pua yako lakini kikiingia mwilini kinakutesa.u dig?
Hii ndo pooa sasa.kuliko diet wanazozisema watu za kushindia juisi wakati hawawezi kudumu hivyo maisha yao yote.ndo mana nikasema diet nikikusudia hizi za majuisi juisi ni ubabaishaji tu.
 
Mimi nina kakitambi kana ni nyemelea yani kameniganda mazorzi napiga na kuacha. sasa fomula gani nitumie kukatoa bila kuathiri kilo nilizo nazo.

Kuna kipindi nilifanya extensive diet nikapungua tena ikawa shida.

Ifuatayo ni milo yangu kwa siku naomba ushauri wapi nipunguze:

Asubuhi
1 Viazi mviringo vya kucheemsha
2. mayai ya kukaanga 2 au matatu (spanich egg)
3. siseji 3 ( za kuku ama kitimoto)
4. Kahawa na maziwa vikombe kimoja na nusu
5. fresh juisi glasi moja (sometime inakuwa ya tikiti au nanasi au papai. siku nyngine inakuwa mix0
6. Kipande kimoja cha mkate
7 vipande viliwi au kimoja cha omellette
8. matunda (ndizi moja, nanasi vipande 4, embe
9. cookie moja.

Mchana
1. Hapa mara nyingi nakula wali na nyama ya ngombe na kuku katika mapishi mabali mabli
2 matunda na juisi fresh.

Usiku
1. nakula wai ama mashed potatoes, nay red meat katika mapishi mablimbali
2. Bia 2 - 4

NB: mboga za majani napata kwa nadra sana maana hazipatikani kila siku.
😲😲🤐🤐🤐 mkuu hapo kwenye breakfast ni wewe peke yako au unakuwa una wageni waalikwa kwa fasinade ya tumbo???
 
Mimi nina kakitambi kana ni nyemelea yani kameniganda mazorzi napiga na kuacha. sasa fomula gani nitumie kukatoa bila kuathiri kilo nilizo nazo.

Kuna kipindi nilifanya extensive diet nikapungua tena ikawa shida.

Ifuatayo ni milo yangu kwa siku naomba ushauri wapi nipunguze:

Asubuhi
1 Viazi mviringo vya kucheemsha
2. mayai ya kukaanga 2 au matatu (spanich egg)
3. siseji 3 ( za kuku ama kitimoto)
4. Kahawa na maziwa vikombe kimoja na nusu
5. fresh juisi glasi moja (sometime inakuwa ya tikiti au nanasi au papai. siku nyngine inakuwa mix
6. Kipande kimoja cha mkate
7 vipande viliwi au kimoja cha omellette
8. matunda (ndizi moja, nanasi vipande 4, embe
9. cookie moja.

Mchana
1. Hapa mara nyingi nakula wali na nyama ya ngombe na kuku katika mapishi mabali mabli
2 matunda na juisi fresh.

Usiku
1. nakula wai ama mashed potatoes, nay red meat katika mapishi mablimbali
2. Bia 2 - 4

NB: mboga za majani napata kwa nadra sana maana hazipatikani kila siku.
punguza red meat na ngano,pia hakikisha mlo wa usiku unakula mapema atleast masaa manne kabla ya kulala.Kunywa maji walau glasi moja robo saa kabla ya kula na robo saa baada ya kula,hakikisha unakunywa walau lita mbili za maji kwa siku.Pia chakula unachokula kisipikwe na mafuta mengi na ikiwezekana kula chukuchuku.
 
Mimi nina kakitambi kana ni nyemelea yani kameniganda mazorzi napiga na kuacha. sasa fomula gani nitumie kukatoa bila kuathiri kilo nilizo nazo.

Kuna kipindi nilifanya extensive diet nikapungua tena ikawa shida.

Ifuatayo ni milo yangu kwa siku naomba ushauri wapi nipunguze:

Asubuhi
1 Viazi mviringo vya kucheemsha
2. mayai ya kukaanga 2 au matatu (spanich egg)
3. soseji 3 ( za kuku ama kitimoto)
4. Kahawa na maziwa vikombe kimoja na nusu
5. fresh juisi glasi moja (sometime inakuwa ya tikiti au nanasi au papai. siku nyngine inakuwa mix
6. vipande viliwi au kimoja cha omellette
7. matunda (ndizi moja, nanasi vipande 4, embe
8. cookie moja.

Mchana
1. Hapa mara nyingi nakula wali na nyama ya ngombe na kuku katika mapishi mabali mabli
2 matunda na juisi fresh.

Usiku
1. nakula wai ama mashed potatoes, nay red meat katika mapishi mablimbali
2. Bia 2 - 4

NB: mboga za majani napata kwa nadra sana maana hazipatikani kila siku.
kwenye matunda hapo pia uwe unabadilisha badilisha.
 
punguza red meat na ngano,pia hakikisha mlo wa usiku unakula mapema atleast masaa manne kabla ya kulala.Kunywa maji walau glasi moja robo saa kabla ya kula na robo saa baada ya kula,hakikisha unakunywa walau lita mbili za maji kwa siku.Pia chakula unachokula kisipikwe na mafuta mengi na ikiwezekana kula chukuchuku.
Kwenye chukuchuku hapo ni tatizo.
Na hilo la kula masaa manee kabla ya kulala ni gumu kuliko kutokula kabisa.
 
Ha ha ha ha "tuna ambiana mambo ya kitapeli tu " hii sentensi imenifurahisha sana
 
Back
Top Bottom