Ni shidah!!!!!
walimu tutaishi kwa matumaini mpaka lini serikali wazi na sikivu mpaka uilazimishe kutekeleza majukumu yake niko dissappointed sana na viongoz wachumia matumbo
Mh.Katibu mkuu TAMISEMI,tunaomba utuambie kinagaubaga kuhusu ajira za walimu maana hali si nzuri mtaani,tunakutegemeasana mh.
pole sana, uwe makini 2015. au km una uwezo wamebaki tembo wachache ukawinde
Waalimu hawajielewi. Kwani ni nani anasimamia chaguzi kuu na ndogo nikimaanisha wakala wa Ccm? S ni mwalimu? Cheap laboures. Hata wakidhulumiwa hawaoni. Hapa kelele mnapiga lakini mkisha ajiriwa kimyaaaaaa. Shame on you teachers.
Kama kuajiriwa ndo mnalazimisha na kujidhalilisha hivi ndio maana hamuwezi kudai haki zenu hata kwa migomo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!hopelesss:evil: