Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnashangaa nini sasa? bongo mtu anabakwa na yeye yeye ndo wa kwanza kukata mauno na wa kwanza kumwaga mpk mbakaji anabaki kaduwaa.
Hahahahahaha toka lini mtu aliyezimia akaongea [emoji23][emoji23][emoji23]
Kazimia mara mbili kwa hyo duh hyo kaliBaadae alijishtukia akampa sim ndugu yake aongee na Kajala haf yeye akaendelea kuzimia
Hii story inanikumbusha rafiki yangu alikuwa kanywa pombe sasa mwenziye mlevi akaomba lift kwenye pkpk yake anaporudi.
Njiani wakati wanarudi jamaa akajisahau kukata kona akaunga mbele pkpk ikavuka mtaro then ikavutuka tena kurudi nyumba yule abiria akaanguka ndani ya mtaro na kuumia.
Sasa jamaa yangu kamuuliza vipi umepona?. jamaa kamjibu nimezimia mimi, huku jamaa akichunguza pkpk yake naye akamjibu acha ungese wewe waliozimia wanaongea. Pombe noma.
Usiombee upate taarifa ya msiba umelewa utalia au kutoa vituko balaa.
Ataziweka Bank alafu ataendelea kuzimia.Aache ujinga.Sasa hela atatumiaje kama anazimiazimia?
Mengi yamesemwa eti ooh mbona washindi wa BIKO hawaonyeshi mshtuko wanapoambiwa wameshinda mamilioni!!.. sasa leo ngoma imepata mchezaji baada ya mkazi wa mbagala "kuamua" kuzimia alipoambiwa na kajala pale ITV kuwa ameshinda mil 20! Mkazi huyo alipoulizwa na kajala eti umezimia? Akajibu ndio!! Alipoulizwa tena unajisikiaje kupata taarifa hii akajibu najisikia vizuri ..