Hatimae mshindi wa BIKO azimia kwa mshtuko

Hatimae mshindi wa BIKO azimia kwa mshtuko

Sasa hivi Tatu Mzuka na Biko watu wanashinda sana, bado sijawasikia Takukuru, bodi ya michezo ya kubahatisha na Tcra kutoa baraka zao
Sasa ngoja siku ya speech kwenye mic muheshimiwa mkubwa ahoji kuhusu hili watu watajambiana sana!
 
Nahisi tatizo jf limeisha leo nimeweza kukoment humu ilikuwa kila nikikoment naandikiwa unknown error.
Jukwaa la ndoto mlionitafuta mniwie radhi mno nipo sijambo na nimewamiss wengi humu.
Asante jf
 
Back
Top Bottom