Hatimae Naona Kama 1+1 = 2 Inaleta Maana

Mkuu umesahau kuongezea point ya dimpoz kuweka like ktk post aliyotukanwa b mkubwa wa diamond
I see... nilikuwa sijafahamu hilo!!! Kwahiyo na ndio maana jana wala hakujisikia ukakasi kutoa mfano kwamba "akina mama wa siku hizi wanapenda vijana wadogo... unaweza kumwambia mtu anapumuliwa kumbe ni baba ako!" Matokeo yake ukienda Instagram, moja ya mambo yanayoshabikiwa ni ikiwa Ommy Dimpoz kagonga Bi.Sandra! Lakini watu wa JF walivyo wanafiki; huwaoni wakiliongea hili... kwavile ni attack dhidi ya Diamond; kwao ni sawa tu!!!!
 
Suala lipo hivi!
Team kiba ni wazuri sana kushinda mitandaoni na kutengeneza mada wanavyoweza na kuichangia wao wenyewe kiasi kwamba mtu asie na timu akavutika na namna mada inavyoenda nae akaamua kujiunga nao kimawazo bila ya kufikiria kipi ni kipi!
Mleta mada nikupongeze kwa uwasilishaji wako wa mada ingawa mwishoni umeharibu kwa kuonesha upo upande wa diamond.
Ujumbe umefika na umeeleweka, diamond haumi maneno, anakupa makavu moja kwa moja.
Halafu niwakumbushe team kiba wamshauri king ili atanue mziki wake sio kila siku mziki upo kko na mombasa,ajaribu kupiga show hata uganda basi kuitangaza tz.
Mnatakiwa kunshtua king, mwambieni mond mwenzie anaukimbizia america na ulaya mziki wake sio yule wa kutafuta kufanya show diamond jubilee.
 
Mond ana maadui wengi kuliko msanii yeyote hapa tz,mkuu fuatilia ile screenshot ya shilole kiuno alivyomtukana b mkubwa wa mond,alaf dimpoz akaweka like,people za humu ndani hiyo hawakuiona ila wameona dimpoz kaongea point.
Yaani ufurahie b mkubwa angu kutukanwa alafu mi nicheke na wewe, mkuu acha mond awanyooshe tu maana watu ni mabingwa wa kujitoa ufaham na usipoteze muda wako kuelekezana nao hawana maana hao mkuu ushabiki waneuweka mbele zaidi.
 
Tuongee kidogo hapo kwenye RED! Unajua haya majukwaa; kila jukwaa lina members wa aina kuu mbili: Members wa Kudumu na Members wa kuja na kuondoka! Nadhani mimi ni member wa kudumu hapa Celebrities na kwa siku naingia angalau mara 5! Na member wengine wa kudumu wote wanafahamu kwamba mimi nipo upande wa Diamond! Kwahiyo ningejifanya sina upande au hata kama nisingesema chochote; basi labda ningewahadaa wale members wa kuja na kutoka lakini wengine wangeniona mnafiki tu nisiye na maana yoyote!!!!
 
Sawa mkuu mimi ni wa kuchungulia na kuondoka ndio maana nilicomment hivyo
 
Mkuu nakuelewa ila we sijui kwanini unasema msaada wa marekani tu,kabla ya wanjera dai si alishatoka kidunia?mbn husemi ya mpuliza sexaphone?mbn husemi alivyokuwa anamtoroka hata kama kaulizwa kama anasepa mbele kesho tu huoni kuna kitu dai alikuwa akimkwepa msela wake?kwa staa kama dai mambo ya kupumuliana kisogoni yametoka wapi mbn kama ni kukosa hoja?ya davido na iyanya yanaeleweka salam ndo alikuwa kashika mpini na ndo maana dai kwa uwezo wake katumia fursa sasa yanini kugombania kolabo?salam aliposema dai katoa 50 alimaanisha ili na dimpoz apewe shavu ajiongeze.
 
Mnh! Yaani unamaanisha yale matusi yaliyoanzia kwa Bi Sandrah hadi kwa Tiffah?!
 
Nakuuliza tena mkuu dai kwa nini amesema dimpoz anapumuliwa kisogoni alijua kuwa watu wanajua ya mamake kuliwa na makuli was tandale sokoni?kwa upande wangu mie nimechangia tu kwa uelewa wangu huwa napenda baadhi ya miziki yao wote kiba dai na dimpo ila wao cwapendi coz wanashabikia ccm.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] design kama inatuhusu hiviiiiii?
Ila sisi tunajielewa bwana,ni kiasi cha kujua upi wakati wa 'ligi' na mengineyo.

Sina shaka katika hili.

[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Same here, sina shaka kabisa na hilo!
 

Mkuu ni vibaya kumuita mwenzako mshamba wakati PENGINE wewe ndo unaweza kuwa ni mshamba(samahani lakini nimetumia neno PENGINE so usitoke povu sana)...hivi unaafahamu kuwa wasanii wengi wa Nigeria wameanza kukubali macollabo na wasanii wa east africa baada tu ya kuona Collabo ya Domo na Davido imekuwa successfull?? tena kipindi ambacho Davido yupo on fire,collabo yake na Domo ikamfanya atengeneze funbase kubwa sana East africa...tambua kuwa Collabo ya my number one ndo collabo pekee iliyosababisha hao wasanii wengine wa Nigeria wakubali kufanya collabo na East african artists hata kwa bureeee,aim ikiwa tu ni kutengeneza funbase.
 
Hilo la saxophone nimeona halina maana na linafanana na issue ya kina Davido! Kwa sababu, ikiwa Dimpoz alikubaliana na mtu ampigie saxaphone lakini wiki moja baadae akamkuta Diamond na huyo mtu... sasa tatizo lipo wapi hapo? Kwani baada ya kumalizana na Diamond, Dimpoz nae asingeweza kuendelea na hizo program ya saxophone? Sasa nini kilimfanya aachane na hilo suala? Yaani kwavile tu Diamond "alimuwahi?!" au?! Tangu lini mpiga saxophone ikawa akishampigia mtu mmoja hawezi tena kumpigia mwingine?Mbona inaonesha kana kwamba, endapo idea ya jambo katoa yeye, basi mwenzake akifanya kabla yake tu; Dimpoz anasusa!!!!

Wanjera ilikuwa released March 2015 na hapa tayari mawasiliano yalikuwa yameshavurugika kabisa baada ya Ommy Dimpoz kwenda na Wema South Afrika ku-shoot video ya Wanjera! Sasa sijui ni utoto au ujinga, zikavuja picha za Wema na Ommy Dimpoz wakiwa kwenye pozi za kimahaba! Dimpoz mwenyewe anasema hapo Diamond alipatia sababu tu!!!



Ommy Dimpoz akakanusha na kusema hakuna mahaba yoyote kati yao! Ingawaje wakati huo Wema na Diamond walikuwa wameachana lakini kila mmoja anafahamu bado moyo wa Diamond ulikuwa kwa Wema! Sasa sijui walifanya hivyo ili kumrussha roho Diamond; wenyewe ndo wanajua! Sijui ni Wema ndie alipiga na kuvujisha ili kumuumiza Chibu; wenyewe ndo wanajua! Na baada ya hapo; kila kitu kikavurugika jumla!!! Na wakati hayo yanatokea; Diamond alikuwa hajapata tuzo yoyote zaidi ya Channel O!!! Ilikuwa ndo anaanza ku-struggle kutoka na kujitanua Afrika na wala sio kidunia! Remember, hapo hata ngoma ya Nana ft Mr. Flavor ilikuwa bado haijatoka!

Kuhusu mbona la kwamba "alivyokuwa anamtoroka hata kama kaulizwa kama anasepa mbele kesho...!" Sasa hilo si ndo la US... Diamond alianza kusema hana uhakika kama ataenda lakini ghafla, akashitukia keshaondoka! Na Dimpoz kazungumzia tuzo ilikuwa kufuata tuzo za AFRIMMA ambazo! Tuzo pekee za AFRIMMA wakati Diamond wapo pamoja na Dimpoz zilikuwa ni za 2014 ambapo Diamond hakukuwa na influence yoyote! Hata BET aliyotaja Ommy Dimpoz; by the time Diamond ilikuwa ndo kwanza:

Sasa hivi kweli inaingia akilini, mtu amekuwa nominated kwa mara ya kwanza; na hata kushinda hakushinda lakini pamoja na yote hayo eti alishakuwa na connection Marekani lakini akamtoroka mwenzake!!!!
 
0+0=2
1+1=0
Sijui nn.kinaendelea Tz Nayooo

Mala.ommy,mala domo,mala kiba

Mala kidogo,mala kajiandae

Kaz kweli kweli

Luck dube one loveeee..It's furahiiii wakuu
Achen ukoma wa kuwadiscus watu
 
 
 
Unaona sasa double standard hizo...! Wewe unaona ni sawa ukisema Mama yake Diamond analiwa na Makuli wa Sokoni Tandale lakini hapo hapo unahoji Diamond kusema "Mwanaume anapumuliwa kisogoni...!" Nadhani hata mfano wa Dimpoz kwamba anaweza kumwita mtu anapumuliwa kisogoni kumbe mtu mwenyewe ni baba ake! Na leo hapa ndo nimepata habari kwamba; kumbe ile mitusi mizito mizito waliyotukanwa familia mzima ya akina Diamond; Dimpoz nae aka-LIKE kuonesha amependezewa na hayo matusi! Lakini pamoja na yote hayo; mwenzake amejikita kwa Dimpoz... hajamtolea mfani mama ake wala dadake! Ndo maana nikatangulia kusema kwamba wanadhani kuna wengine wakidhalilishwa ni sawa tu lakini waki-fight back; tayari tatizo!!!!

Sasa kukujibu swali lako; kwani Diamond ni kichaa aibuke from nowhere akamtukana Dimpoz? Kwanini hakumwambia anapumuliwa wakati zilipovuja picha za Dimpoz na Wema?! Sasa kama amefanya au anaamini amefanya mambo ambayo mwanaume hastahili kufanya kwa mwenzake; obvious usishangae kuambiwa anapumuliwa! Kama watu wanalipa mamilioni kutengeneza video kuvutia watu halafu mwisho wa siku unakula "views" za kutosha halafu anatokea mwingine anasema unanunua views; hizo ni kauli za watu wanaopumuliwa manake huwa hawaheshimu hustles za watu na kinyume chake watazihusisha na mambo ya kijinga!
 
Ommy ndo mzembe alifanyaga tupogo na j.martins y hakutoa video na kipindi kile j martins alikuwa juu sana yaan ommy ndo alitakiwa atoboe nigeria kabla ya diamond akazembea then baadae ndo anakuja kulilia connection
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…