Hahahahaha...hao masingle maza masupa staa vijana wanapishana tu kuwarukiaKwa hiyo kuna mwamba mwengine anaendeleza project, kamwachia mwenzake aendeleze gurudumu.
Hapo ndipo ujue Uchebe alikuwa yupo sawa.Nawaonea huruma vijana wanaodate na mishangazi kwani huja kudhalilika na poteza ile hazi ya kiuwanaume.
Ila uzuri hainaga Makombo acha kijana mwengine aendeleze gurumu,maana Shilole amekuwa kama project.
dah, hii ndio ile...Hello π
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine.
Kungekuwa na timu ya mpira;
Kocha mkuu- Haji Manara
Kocha wa Viungo- Dida Shaibu
Kocha wa Makipa- Esma
Kocha Msaidizi- Shilole na Dula Makabila
My take: Vijana muache kulelewa mtafute wanawake wa size zenu.
View attachment 3001773
Inainekana jamaa mstaarabu ila sister mambo mengi,kuoa mtu maarufu hasa wa kike ujiandae ki akili haswa,kaka anaweza control some of the stuff ingawa sivyo but dada inakua kazi zaidi kwakua vitu vitu anatakiwa kufanya kuliko kuamua km yyHello π
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine.
Kungekuwa na timu ya mpira;
Kocha mkuu- Haji Manara
Kocha wa Viungo- Dida Shaibu
Kocha wa Makipa- Esma
Kocha Msaidizi- Shilole na Dula Makabila
My take: Vijana muache kulelewa mtafute wanawake wa size zenu.
View attachment 3001773
Kama CCM wanavyobadili wenyevitiKwa hiyo kuna mwamba mwengine anaendeleza project, kamwachia mwenzake aendeleze gurudumu,so Shishi ashakuwa Gurudumu sio Mshangazi tena.
Hapo ndipo ujue Uchebe alikuwa yupo sawa.Nawaonea huruma vijana wanaodate na mishangazi kwani huja kudhalilika na poteza ile hazi ya kiuwanaume.
Ila uzuri hainaga Makombo acha kijana mwengine aendeleze gurumu,maana Shilole amekuwa kama project.