Unakosa mengi sana. Mimi pia asili yangu ni kusini upande wa bibi mzaa baba. Niliwahi kwenda utotoni pia niliwahi kwenda mwaka 2017 nikaa Mtwara pale siku 3 then nikirudi mjini but kusini kuchele.Mimi hapa mtu wa kusini japo nimezaliwa Dar na kukulia ,na nimeeenda Mara moja kipindi Niko darasa la pili nikahamia uhamisho wa muda kwa miezi 7 kisha nikarudi Dar mpaka Leo sijawahi kwenda tena nasikilizia mwaka mmoja niende kusalimia InshaAllah ..
Miaka kadhaa iliyopita, kuna mtu alitolewa mkoani Tabora na kupelekwa huko Mtwara kishirikina. Mtu huyo, asubuhi moja, alijikuta yuko juu ya mti huko Mtwara bila kutarajia. Hili jambo limekuwa likifikirisha sana, fanya utafiti juu ya jambo hili na utupatie mrejesho (matokeo ya utafiti).Mimi hapa mtu wa kusini japo nimezaliwa Dar na kukulia ,na nimeeenda Mara moja kipindi Niko darasa la pili nikahamia uhamisho wa muda kwa miezi 7 kisha nikarudi Dar mpaka Leo sijawahi kwenda tena nasikilizia mwaka mmoja niende kusalimia InshaAllah ..
Accumen MoNasikia mikoa ya kusini Lindi na Mtwara wasichana wanaanza ngono wakiwa na miaka 13 ( wanakuwa na mahusiano na watu wazima kabisa) na wazazi wana kuhusu?
Naomba ulifanyie utafiti na hilo mkuu
ndege JOHNNasikia mikoa ya kusini Lindi na Mtwara wasichana wanaanza ngono wakiwa na miaka 13 ( wanakuwa na mahusiano na watu wazima kabisa) na wazazi wana kuhusu?
Naomba ulifanyie utafiti na hilo mkuu
Mtwara nitapata lodge za at elfu kumi?Sasa hivi nipo Mtwara huku sema kazi zinabana sana sina mda wa kuzunguka
Nimeishi kati ya wilaya Moja Lindi. Hilo jambo lipo tena wazazi ndio ugharamia pesa ya barua/mahari.Nasikia mikoa ya kusini Lindi na Mtwara wasichana wanaanza ngono wakiwa na miaka 13 ( wanakuwa na mahusiano na watu wazima kabisa) na wazazi wana kuhusu?
Naomba ulifanyie utafiti na hilo mkuu
SawaNtakutumia questionnaire mkuu unisaidie kujaza
What? Wazazi wanamuoza mtoto wa 14 or 15 years? Ni zamani hiyo au recent?Nimeishi kati ya wilaya Moja Lindi..Hilo jambo lipo tena wazazi ndio ugharamia pesa ya barua/mahari
Ni mgeni maana nimefika nyumba ya ofisi ...sijatembea sana hii leo tu nipo mzigoni...Town sijafika kabisa ratiba zinabanaMtwara nitapata lodge za at elfu kumi?
Hiyo ni Mpaka Sasa na wengi wao ni Elimu ya darasa la sabaWhat? Wazazi wanamuoza mtoto wa 14 or 15 years? No zamani hiyo au recent?
Ila Mtwara mjini sidhani hapo Lindi hata mjini hapajulikani vizuri... Nillifuatilia Mtwara haswa ishu za kielimu hapa town tangu niwe na mpango wa kuhamia 2020 mpaka sasa naona wanaufaulu mzuri yaani madogo wanasoma.Hiyo ni Mpaka Sasa na wengi wao ni Elimu ya darasa la saba