Kumbe wewe hutaki bahati...Cheo kitaninyima nafac ktk harakat zangu za kuuza ganja mkuu
Fasta sasa kabla hawajafunga kaziDah! kwel mkuu, ngoja nilifikirie hili
Kabla hawajazima laputopu zao ndio ofisiMkuu ofisi yao ipo sehemu gani humu?
Kwanini hutaki siasa?Habari wanaJamiiForums
Kama heading ijielezavyo hatimae nimefanikiwa kuzisoma threads zote za Jamiiforums ktk majukwaa yote ispokuwa jukwaa la siasa
Hivyo ningeomba wanaJF wenzangu musikose kunitag ktk threads mpya zitakazotoka ili tujifunze na tuinjoi wote kwa pa1 ispokuwa threads zitakazohusu siasa tu.
Natanguliza shukran zangu.
FeneView attachment 1893264