Hatimae nimefanikiwa kuzisoma threads zote za Jamiiforums, musikose kunitag ktk threads mpya

Hatimae nimefanikiwa kuzisoma threads zote za Jamiiforums, musikose kunitag ktk threads mpya

Wew bado hujui kitu kuhusu JF...JF kwa huko.nje inajulkana kama jukwaa kongwe la siasa na kichaka cha wanasiasa na wanaharakati, sasa wew kujisomea izo nyuzi za addition ndyo ujione umesoma thread zote? afazar hata usingelimention ilo jukwaa ama ungesema umesoma nusu ya nyuzi[emoji41][emoji41][emoji41]...we kijana bado sana subir wajuzi wenzako wa kula matunda kimasihara wamiminike hapa kukusapoti[emoji41][emoji41]
Inawezekana mkuu
 
Habari wanaJamiiForums

Kama heading ijielezavyo hatimae nimefanikiwa kuzisoma threads zote za Jamiiforums ktk majukwaa yote ispokuwa jukwaa la siasa

Hivyo ningeomba wanaJF wenzangu musikose kunitag ktk threads mpya zitakazotoka ili tujifunze na tuinjoi wote kwa pa1 ispokuwa threads zitakazohusu siasa tu.

Natanguliza shukran zangu.

FeneView attachment 1893264
Ok
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Usikose kunitag Yn2
 
Back
Top Bottom