Hatimae nimefanikiwa kuzisoma threads zote za Jamiiforums, musikose kunitag ktk threads mpya

Hatimae nimefanikiwa kuzisoma threads zote za Jamiiforums, musikose kunitag ktk threads mpya

soma na huu upigie na kura na maoni yako mkuu



 
Cheo kitaninyima nafac ktk harakat zangu za kuuza ganja mkuu

Nilikuwa najiuliza hivi mtu anawezaje kupata hiyo Nguvu ya kusoma Threads zote za Jf kumbe Bhangi bhana. Ama kweli, Bhangi nibangue akili zangu niachie [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wew bado hujui kitu kuhusu JF...JF kwa huko.nje inajulkana kama jukwaa kongwe la siasa na kichaka cha wanasiasa na wanaharakati, sasa wew kujisomea izo nyuzi za addition ndyo ujione umesoma thread zote? afazar hata usingelimention ilo jukwaa ama ungesema umesoma nusu ya nyuzi[emoji41][emoji41][emoji41]...we kijana bado sana subir wajuzi wenzako wa kula matunda kimasihara wamiminike hapa kukusapoti[emoji41][emoji41]
 
Nilikuwa najiuliza hivi mtu anawezaje kupata hiyo Nguvu ya kusoma Threads zote za Jf kumbe Bhangi bhana. Ama kweli, Bhangi nibangue akili zangu niachie [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu bhangi mi sio mtumiaji labda kuonja tu kujua quality ya mzigo
 
Back
Top Bottom