Kicheko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kakuambukiza nn?
Mtafute umsome huyo jamaa ni hatariTaja tittle mkuu niiload ktk mafaili hapa
Pw mkuusoma na huu upigie na kura na maoni yako mkuu
SoC01 - Vijana ndio uti wa mgongo wa mipango ya kesho, Taifa liwekeze kwao
Leo naandika kuhusu nchi yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na vipi iwekeze kwa vijana wa taifa letu. Andiko litaelezea katika sehemu tatu utangulizi ambapo nitatoa maelezo kidogo juu ya historia ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Pia nitamuelezea Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere...www.jamiiforums.com
PoaPw mkuu
usijaliAhsante, usikose kunitag in ur favourites threads
Ungesoma zote, usingeuliza hilo swali..., kwahio in short haujasoma zote au hata kama umesoma haujaelewaMods ndo kina nani hao mkuu?
Cheo kitaninyima nafac ktk harakat zangu za kuuza ganja mkuu
Mkuu bhangi mi sio mtumiaji labda kuonja tu kujua quality ya mzigoNilikuwa najiuliza hivi mtu anawezaje kupata hiyo Nguvu ya kusoma Threads zote za Jf kumbe Bhangi bhana. Ama kweli, Bhangi nibangue akili zangu niachie [emoji28][emoji28][emoji28]