Hatimae nimehamia kwangu

Hatimae nimehamia kwangu

Unaleta story za kile kibanda cha mlinjz...hivi kilikula million ngapi vile? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani tunaona kila aina ya upigaji Halafu wanaweka wazi kama sifa vile
Kuna bwawa lilitengewa 600m jamaa anakabidhi kidimbwi cha maji tena kachimbua kwa mkono [emoji23][emoji23]

Waziri nae eti Takukuru mchukueni huyu hajui huko anaenda kuwapa chao pia
Yaani tunapigwa kifala kweli
 
Yaani tunaona kila aina ya upigaji Halafu wanaweka wazi kama sifa vile
Kuna bwawa lilitengewa 600m jamaa anakabidhi kidimbwi cha maji tena kachimbua kwa mkono [emoji23][emoji23]

Waziri nae eti Takukuru mchukueni huyu hajui huko anaenda kuwapa chao pia
Yaani tunapigwa kifala kweli
Na tutaendelea kupigwa maana wananchinsie ni wajinga
 
Unaleta story za kile kibanda cha mlinjz...hivi kilikula million ngapi vile? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

IMG_6359.jpg

[emoji23]
 
Japo haikuwa rahisi kivile nashukuru mungu nimefanikiwa kuhamia kwangu
Kweli nimeamini ukiwafatilia sana walimwengu haujengi vitisho vingiiii hasa hawa mafundi wa mitandaoni kitu Cha laki atakwambia laki Saba[emoji2957][emoji2957]
Hongera mnoo
 
Back
Top Bottom