Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha mgeni njoo mwenyeji aponeMgen umkaribishe ata chai bhaccc
Alafu baadae uulizie mengine Itapendeza
Hata pm unaogopa kuja wewe ni mwenyeji[emoji13] [emoji13]Zawadi nipatie hapahapa
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Njoo PM nikupe zawadi
Daah akufukuzae akwambii toka..Cna namba hata ya nyumba[emoji2]
Karibu picha yako tafadhaliBaada ya kuperuzi umu kama guest,Leo nimeamua kujiunga rasmi
Naomba umnipokee Mimi member mpya humu ila muenyeji hahahahaaa
Ahsanten sanaaa...
Haya ,chukua hizo zawadi zako za sikukuuMnipokee humu niwe mmoja wenu(Mwanafamilia ya jamii forums)
Nakusubiri hapa na pensi [emoji12] [emoji12]Aiyaaaa naja
Hahahahaha jamani c najaribu kupambana na hali yanguDaaah hufai kabisa wewe
Umejuaje kama ni bibiMweh!
Mm cyo uyo bibi buana..
Kwani tunafanana miandiko ama?
Minah naomba nikupe zawadi kwa pm ykoBhac sawaaa